Profesa Baregu afunguka sakata la Membe na 2020

Profesa Baregu afunguka sakata la Membe na 2020

Una ushahidi wa haya? Fala kama mwigulu jimbo lake ambalo halina maendeleo yoyote wanini? Zitto ni mavi alishawekwa maliwato hawezi rudishwa tumboni napegwa nnauye ana nini zaidi ya kubwata ushafika mtama jimbo baya na lakimaskini kuliko yote?
nana anasababisha umaskini ni Nape au CCM, ndio maana tunasema kuwa nyie mmeshindwa kuleta maendeleo kwa Watz xo go out
 
2020 yatakua mafuriko ya sunami zaidi ya 2015. UKAWA tayari wamechukua nchi 2020 kama 2015. Kwenye Twitter Facebook na Instagram
 
nana anasababisha umaskini ni Nape au CCM, ndio maana tunasema kuwa nyie mmeshindwa kuleta maendeleo kwa Watz xo go out
Sio "nana" ni nani chadema lini imeshika dola mpaka ilete maendeleo? Au unatoka usingizini?
 
Mzee baba nisamehe, siwezi kutunza Maneno yako; nina mambo lukuki
Tunza maneno yangu ata atakachoulizwa na atakacho waambia ni tofauti, hakika hamtakaa mjue nini kinaendelea.
 
Huyu profesa ameshindwa kuisadia cdm Leo ndo anaibuka eti, naona dalili za cdm kutegemea mgombea kutoka ccm tena. Sasa cdm wanafanyaga nn sasa sijui
Kwani CCM huwa mnafanyaga nini mpaka mtegemee akina shonza, waitara, mkumbo, slaa, kutoka upinzani??
 
Mbn mnamwacha mwenyekiti wa chama chenu haraka hivyo, peoples power iko wp? Au mmeiacha siku hizi?
Unaulizwa bamia zimeiva? unajibu kapata kura tano.😕😕😕
 
Kwani CCM huwa mnafanyaga nini mpaka mtegemee akina shonza, waitara, mkumbo, slaa, kutoka upinzani??
Magu keshaona hko CCM wafia Chama wpo vichwa maji tu ndomana Inabidi aokote hku

Ova
 
Hakuna kitu, Membe ataenda na ataonywa ata nyamaza ni mtu ambaye kwa nyazifa zake hawezi kufanya chochote maana anaweza kujitia matatani fasta.
yaaani nyie viumbe mliozaliwa nchi hii ni waajabu haijapata tokea.
yaani mnauwezo wa kumjua mtu kuliko anavojijua yee mwenyewe.
ukiambiwa thibitisha unavomjua utaishia kumbwelambwela tu[emoji196] [emoji83] [emoji216] [emoji196] [emoji196] [emoji90] [emoji12]
 
Una ushahidi wa haya? Fala kama mwigulu jimbo lake ambalo halina maendeleo yoyote wanini? Zitto ni mavi alishawekwa maliwato hawezi rudishwa tumboni napegwa nnauye ana nini zaidi ya kubwata ushafika mtama jimbo baya na lakimaskini kuliko yote?
tutajie kwako na mumeo afu tutajie m'bunge wako na maendeleo yako
 
Huyu profesa ameshindwa kuisadia cdm Leo ndo anaibuka eti, naona dalili za cdm kutegemea mgombea kutoka ccm tena. Sasa cdm wanafanyaga nn sasa sijui
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom