TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia

TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia

1.Torati 18:10-11.Wala asionekane mtu ..............apandishae pepo,wala uchawi ,wala mtu AWAOMBEA WAFU. Mungu anakataa kuombea wafu bali tuombeane tukiwa hai.

2.Muhubiri 9:5 Kwa sababu walio HAI WANAJUA ya kwamba watakufa; lakini WAFU HAWAJUI neno lo lote, wala HAWANA ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

3. Waebrania 9:27. Baada ya kifo ni hukumu. Hivyo kumuombea marehemu ni ujinga mbele za Mungu. RIP ni neno la kufarijiana tu ila halibadirishi chochote kwa mwenda zake.
Acha Unanga Wewe,Hapo Kumb.la torati 18:10,haisemi Aombeae Bali ni awaombae wafu,elewa kiswahili tofautisha kati ya kuwaomba na kuwaombea.
 
Jinsi unavyoishi na watu ukiwa hai ndivyo unavyojichagulia wapi uende siku ukifa. RIP haibadirishi chochote! Nikufarijiana tu.
Na wewe unaumwa si bure, mbona unateseka Sana?.Sasa km haibadilishi kitu wewe kinakuuma nini?,Si ufanye yako?.
 
Wewe ni Mzee mstaafu MWEHU!!! Siwezi kupoteza muda na wewe, pumzika shambani kwako.
...mmmm, Wastaafu tena Mkuu? Hats hawa tuwaache wapumzike.
Wamepitia mengi na bado mengi yanawasibu.
Kuwahusisha na Tusi sio jambo Jema kwa wazee wetu....
 
Back
Top Bottom