Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Elimu ipi munayoiongelea?
Hii ya watu ma Prof lkn wanapambana na akina Msukuma kwa hoja?
Hawa wanaosema corona haipo kesho yake akija kiongozi mwingine wanasema ipo?
Hawa wanaoona kumkamua mlalahoi kwa Tozo wapate hela wainue uchumi wa nchi, na kuondoa uwezekana kuimarika uzalishaji?
Wachukuliwe wenye akili
Hii ya watu ma Prof lkn wanapambana na akina Msukuma kwa hoja?
Hawa wanaosema corona haipo kesho yake akija kiongozi mwingine wanasema ipo?
Hawa wanaoona kumkamua mlalahoi kwa Tozo wapate hela wainue uchumi wa nchi, na kuondoa uwezekana kuimarika uzalishaji?
Wachukuliwe wenye akili