Profesa Handlay Mwafwenga mwenye digrii Tisa achukua fomu ya Uspika wa Bunge. Anena mazito

Profesa Handlay Mwafwenga mwenye digrii Tisa achukua fomu ya Uspika wa Bunge. Anena mazito

D7C2BA31-1C71-4C22-B2C9-29C1062838D1.jpeg


Kanuni za bunge ndio zimeelezea vizuri anyone can become a speaker apparently.

Ila kuna taratibu zingine zinaharibu rituals ya jinsi nchi zinavyoendeshwa.

CCM hii ya sasa inaenda haribu nchi, yote hayo wana speaker wao wa mfukoni tayari ambae sie mmbunge.

Watu kama hawa wanaanda mazingira ya kiakili tu speaker sio lazima awe mmbunge. Kinachofuata actions za wahuni kumpeleka mtu wao na ndie atakaeshinda.

All the best
 
Back
Top Bottom