TANZIA Profesa Handley Mafwenga, Mtanzania mwenye shahada 9 afariki dunia

Asante mkuu
Kumbe kusoma sana ni uoga wa maisha...

Marehemu mwenyewe alikua anaji Ita multi_sector

Mpk akagombea uspika wa bunge la Jmt

Sawa mkuu kumbe kusoma sana ni sifa za kijinga..
Pamoja na degree zako 2 kitu gani umekubuni cha kuikomboa dunia?? I mean kutatua everyday changamoto??
 
[emoji3526][emoji3526][emoji4][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu kama nyinyi hamkosekanagi katika jamii yaani nimecheka sanaa [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Melo akisema anapenda kusoma tutamwelewa maana Jay Efu inafanya yake!!

Obviously wewe ni wale unga unga mwana!! Elimu yako ni full super glue!! Degree kwa maisha ya sasa yenye AI inaitajika kwenye mambo machache!!


Usikute unasoma procurement?? Swine
 
IF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE, THEN YOU WILL NOT BE BEGGING FOR FOOD
 
Rest In Peace classmate
Aisee na mimi alikuwa classmate wangu kwenye moja ya degree zake.Ila alikuwa mtu wa kusaidia sana watu nakumbuka nilikwama kitu moja ya wizari uwezi amini within a day alinisaidia kukamilishwa kwa maombi yangu kwenye hiyo wizara bila jasho.RIP my friend.
 
Degree saba halafu alikuwa hajui anaugua figo
Hakuwahi kusomea bailojia (biology) ya mwili wa mtu au udaktari wa magonjwa ya binadamu. Kusoma si kujua kila kitu, yeye alikuwa mtaalamu wa masuala ya fedha, kodi na sheria zinazohusiana na fedha na kodi.
 
Apumzike kwa Amani 😭
 
You need more 98° to normalize your normality!! Kilaza full options!!
The audience will assume you’re a pair if you debate with a stupid one..........

Huwezi battle na Mimi in anything kuendeleza mabishano na wewe ni sawa na Mimi kurusha mawe juu ya mayai.....

Am Out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…