donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
- #121
Unadhani kuna mwingine zaidi yake?Ndiyo huyu anayesema tusile pilau nakachumbali moyo utapasuka?[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kuna mwingine zaidi yake?Ndiyo huyu anayesema tusile pilau nakachumbali moyo utapasuka?[emoji3][emoji3]
We mzee kumbe una uchawa pia?Uzuri ni kwamba, Prof Janabi huwa anatoa ushauri. Na wala siyo shurti kuufata ushauri wake kwa muda huo.
Ila ikifika wakati, utalazimika tu. Kwa sasa wala usiwaze, ila muombe Mwenyenzi Mungu akuepushie na magonjwa.
Ukiyapata, utafika hospital na mara moja utalazimika kuyaacha baadhi ya mitindo ya maisha huku ukiwa umeshachelewa zaidi.
Ukiwa unaneemesha mwili wako basi neemesha na akiba kwa ajili ya matibabu hapo baadae.
Na unaishi Arusha?I rest my case.Jichanganye.Arusha kubwa.😂😂 hata sijawahi kupasikia
hii ni photoshop.
Asante kwa taarifa. Tuma salamu kwa watu watatu!hii ni photoshop.
Tafsiri ya Uchawa ni nini dogo?We mzee kumbe una uchawa pia?
Nimesikitika.
Tanzania tuna Madaktari wa Moyo wangapi?Prof Janabi wala si wa kupenda kuonekana. Ila majukumu yake yanamuweka front.
Lakini umaarufu wake si kwa sababu ya uprof wala Ukurugenzi, bali ni kwa sababu ya ushauri usioyumba. Wabongo hawapendi uwaambie waache wanachokipenda.
Nilicheka sana, anyways ana hoja asikilizweVingine vinatengenezwa tu na watu.
Eti kachumbari na pilau pamoja na pepsi inaleta pressure katika utumbo mpana, itasababisha kupasuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wanampachikia tu maneno.
Ni wapi? Mm najua Njiro nayo hii ukinitoa nje ya Tsunami nimepotea, Sakina kidogo, Kiserian kidogo, mjini kati kwa sana.Na unaishi Arusha?I rest my case.Jichanganye.Arusha kubwa.
Ushabiki maandazi.Tafsiri ya Uchawa ni nini dogo?
Huusisha na andiko langu kuonyesha kuwa mimi Chawa.
Unajidanganya. wakubarikiwa huwezi kuwekwa wakfu duniani utawekwa mbinguni, unaijuwa mbingu wewe?Na nimewekwa Wakhfuu Mbinguni pia!!
kashindana na nani mpaka kapewa ubingwa?Daktari bingwa WA magonjwa ya moyo na mkurugenzi wa hospital ya muhimbili
Ni mtaa katika mitaa ya kata ya Unga Ltd.Kata ya kati utakuwa unafanya biashara au shughuli nyingine za kiofisi.Ni wapi? Mm najua Njiro nayo hii ukinitoa nje ya Tsunami nimepotea, Sakina kidogo, Kiserian kidogo, mjini kati kwa sana.
Najua ni kubwa.. na huwezi ijua yote.
Ok, uchawa una malipo yake, hujarelate mimi napata malipo gani kutoka kwa Prof Janabi. Mtu ambaye hata hanijui kwa lolote.Ushabiki maandazi.
Nakuona unamkingia anavopondwa na kusifia mafanikio yake....
Mtu mzima anaejali afya yake hasubiri kuambiwa ale vipi, atafanya due diligence, na ukitakiwa ushauri wa wataalam atafuata taratibu maalum(ataenda hospitali)
Anachokifanya huyo celeb wako ni kuchanganya watu tu. Apuuzwe.
Kwani Wewe unaijua Mbingu??Hadi ubisheUnajidanganya. wakubarikiwa huwezi kuwekwa wakfu duniani utawekwa mbinguni, unaijuwa mbingu wewe?
Na ile 17/03/2021 ilimpaishaProf Janabi wala si wa kupenda kuonekana. Ila majukumu yake yanamuweka front.
Lakini umaarufu wake si kwa sababu ya uprof wala Ukurugenzi, bali ni kwa sababu ya ushauri usioyumba. Wabongo hawapendi uwaambie waache wanachokipenda.
Cc The IcebreakerI seconded