Profesa Jay hongera kwa Kuoa ila mbona Mkeo katika Harusi muda wote alikuwa analazimisha furaha?

Kwani mleta mada ni jinsia gani?

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Inawezeka ww ni mchawi tena unayepaa he uliingia moyoni mwake? Umeona hayo sjui kwann watanzania wengine huwa majinga kama ulivyo ww ulitaka see zuzu wa kuchekacheka hovyo au skuchekee ww,pumbavu kabisa ww nyie ndo wavunja Miji ya watu paka shume.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii ndoa ni kutimiza agano tu watu wamshagegedanaaaa mpaka wamechokana sasa ndo wameamua kuhalalisha furaha itokee wapi?

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye habari hakunogi bila pc

Sent from my GT-I8190 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke amefanya send off jumamosi, jumapili kafanya harusi, plus anaonekana mjamzito.

Kiufupi walimu overdose sherehe,so alichoka kupita maelezo, sidhani kama unawezs kutabasamu ukiwa umechoka kupita kiasi.

Swali ni kwa nini waliunganisha send off na harusi? What the hurry?

"the highest risk should give maximum profit"
 
Ukitaka kupata jibu nenda animoon na pr j atakupa jibu.

Sent from my Infinix-X600 using JamiiForums mobile app
 
Pole huyo sio kiruka njia wa kucheka ovyo ovyo kama wewe umezoea micharuko ya uswahili sio kwa Grace jay .Pia usiingize siasa kwenye sherehe za watu .Akili yako imeshikana na nani yako.

Sent from my GT-I8262 using JamiiForums mobile app
 
GENTAMYCINE......nilitegemea ungetowa hongera kwa wabunge wa JMT kuungana pamoja na kushiriki ktk harusi.Tunapenda saana tukiwaona waki SOCIALIZE pamoja kwa kila jambo.Mimi niwaambie hongereni na pia Mh.Ridhwan kwa kutuma ujumbe wa kutokuhdhuria...yote hii inaonesha kuna upendo wa dhati.
 
Mtafute prof Jay umuulize. Sasa unatuuliza sisi ili tukusaidiaje? Zumbukuku kabisam. Manamke mengine bhana.
 
Hata mke wa trump hataki kushikwa mkono na mumewe hadharani

So ni tabia ya MTU tu

Sent from my TECNO-A7 using JamiiForums mobile app
kama ndo hivyo s namuacha tu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Nilijua mimi peke yangu ndie niliyeliona hilo.
Alikuwa yuko siriaz aiseeh mh!yani naona kama Prof J asingechangamka harusi ingepoa kama mlenda wa kusaga.
 
Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!

Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia eeeeh [emoji442][emoji443][emoji443][emoji443][emoji456][emoji447][emoji448][emoji441][emoji441]. Huwez jua rais wa Mbeya kampendea nini bibie Happy. Mapenzi ni zaidi ya uzuri wa sura [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…