Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mbogambogakwa tiketi ya chama gani
nakjua chauma kumbe mboga mboga acha waendelee kuchumaMbogamboga
naona anataka kufia bungeniMkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
View attachment 3012038
Pedeshee Kapuya hajawahi kuwa na aibu, nilimfahamu vizuri kwenye matamasha ya Akudo ImpactIla kuna watu hawana aibu jamani. Kutwa kuwaambia vijana waliajiri ilhali wao wenyewe hawawezi kujiajiri.
Kingingi si kilishatangulia?Hilo si Jimbo la Magreth Samweli Sitta Hilo?
Uswahilini tunasema Ng'ombe hazeeki mainiAlioa binti wa miaka 25 yeye akiwa na 74
Kweli kabisa, ila amesurvive wengine wanaaga dunia mapema sana baada ya kupa dogo dogoUswahilini tunasema Ng'ombe hazeeki maini
Nini kimekupata?!Wanasiasa wetu wa hovyo sana.
Maisha yao yote wanawaza kutupiga tu aisee.
Huyo ni Team JiweNini kimekupata?!