Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na skendo ya wale mabinti au waliamua kumzushia 😄Pedeshee Kapuya hajawahi kuwa na aibu, nilimfahamu vizuri kwenye matamasha ya Akudo Impact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na skendo ya wale mabinti au waliamua kumzushia 😄Pedeshee Kapuya hajawahi kuwa na aibu, nilimfahamu vizuri kwenye matamasha ya Akudo Impact
CCM wanajali hela tuNa skendo ya wale mabinti au waliamua kumzushia 😄
Alikuwa ananiambia we kijana mbona ofisi yako sielewielewi 😄 nkawa namjibu mzee mm hapa nauza maneno badaye nayegeuza fedha 😄😆😆😆😆😆
Anapenda dogodogo 😄Na skendo ya wale mabinti au waliamua kumzushia 😄
Noma sanaAlikuwa ananiambia we kijana mbona ofisi yako sielewielewi 😄 nkawa namjibu mzee mm hapa nauza maneno badaye nayegeuza fedha 😄
Kuna siku sasa akaja asha baraka akamuona,akadandia tena nkamwambia ahh ss wadau wa twanga mzee 😄
Ova
Ngoja nimwambie naye mzee wangu mwambalasa naye arudiNoma sana
Hakuna umri wala utuCCM wanajali hela tu
VibayaAnapenda dogodogo 😄
Ova
Mbowe ana miaka 24 anatawala Chadema na anaongeza miaka mingine 5 hadi 2029. Mwamba Jiwe Magufuli ilikuwa ni dhahania tu maana ametawala miaka Sita tu. Ukiulizwa nani dikteta na mpenda madaraka utamtaja nani? Ahahahahaha!! Nasubiri jibu! Ahahahahaha!!Sio mbaya,si mlitaka pia JPM atawale 20 yrs nyie au
Jikite kwenye madaMbowe ana miaka 24 anatawala Chadema na anaongeza miaka mingine 5 hadi 2029. Mwamba Jiwe Magufuli ilikuwa ni dhahania tu maana ametawala miaka Sita tu. Ukiulizwa nani dikteta na mpenda madaraka utamtaja nani? Ahahahahaha!! Nasubiri jibu! Ahahahahaha!!
Hatari snMambo ya botany
Ova
Dingi hana akili hata kidogoUtaalamu wa kumbikumbi kujenga nyumba zao 😆🤣 ... Natania boss. Ila Mzee anazingua.
BotanyHuyu mzee huwa ni Profesor wa kitu gani?
Aibu snBotany
ile taasisi yake bado ipo?Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
anagombea ubunge sio kutaka kurudi serikaliniHawa wazee wajinga sana, amesahau ni nini serikalini? kutwa vijana mjiajiri lakini wao wanataka kufia madarakani
Alihojiwa juzi kati na Manara akasema hiyo taasisi ni ya mdogo wake ambaye yupo Statesile taasisi yake bado ipo?
Hawa wazee wa Mambo ya biology wana Mambo! Hata ndugai ni humohumo! Wanataka kuzeekea madarakani nakumbuka kuna prof. Pale UDSM alikuwa anaitwa Kayumbo yaani mkorofi balaa ila ukiangalia ni mzee Sana!Botany
Status wengi wana uraibu na hii kituHawa wazee wa Mambo ya biology wana Mambo! Hata ndugai ni humohumo! Wanataka kuzeekea madarakani nakumbuka kuna prof. Pale UDSM alikuwa anaitwa Kayumbo yaani mkorofi balaa ila ukiangalia ni mzee Sana!