Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alikuwa ananiambia we kijana mbona ofisi yako sielewielewi 😄 nkawa namjibu mzee mm hapa nauza maneno badaye nayegeuza fedha 😄
Kuna siku sasa akaja asha baraka akamuona,akadandia tena nkamwambia ahh ss wadau wa twanga mzee 😄

Ova
Noma sana
 
Sio mbaya,si mlitaka pia JPM atawale 20 yrs nyie au
Mbowe ana miaka 24 anatawala Chadema na anaongeza miaka mingine 5 hadi 2029. Mwamba Jiwe Magufuli ilikuwa ni dhahania tu maana ametawala miaka Sita tu. Ukiulizwa nani dikteta na mpenda madaraka utamtaja nani? Ahahahahaha!! Nasubiri jibu! Ahahahahaha!!
 
Hawa wazee wa Mambo ya biology wana Mambo! Hata ndugai ni humohumo! Wanataka kuzeekea madarakani nakumbuka kuna prof. Pale UDSM alikuwa anaitwa Kayumbo yaani mkorofi balaa ila ukiangalia ni mzee Sana!
Status wengi wana uraibu na hii kitu
 
Back
Top Bottom