Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau na Mbowe kugombea Uwenyekiti wa Chadema 2024 na akipata atakuwa Mwenyekiti kwa miaka 30 mfululizo! Ahahahahaha!!!Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
View attachment 3012038
Hakujua kwamba Kapuya na Jk wametoka mbali, hakujua kuwa ni washirika wa manunuzi ya UDA, alikuwemo Pia Idd Simba na MasaburiKwa hiyo Dr Gwaji D alikurupuka?
Walimu ndio waliwafundisha akina Dr. Samia na akina Mo huku wao wamevaa viatu soli imesagika upande mmoja.Ila kuna watu hawana aibu jamani. Kutwa kuwaambia vijana waliajiri ilhali wao wenyewe hawawezi kujiajiri.
Mzee tuaachee possess zilepesa zoteee zimeisha mpaka unataka kuaibika tenaaa zamuyavijana bana...Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
View attachment 3012038
Kapuya alipoteza ubunge tangu 2015 hata 2010 alisurvive kwa bahati sana.JPM alifyeka vibabu karibu vyote 2020. Ule uchaguzi ulikuwa na maumivu makali ndani na nje ya CCM.
Muzee ya dogo dogo!Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
View attachment 3012038
Labda aende kulala na kugonga mezaNini kimekupata?!
Sio mbaya,si mlitaka pia JPM atawale 20 yrs nyie auUsisahau na Mbowe kugombea Uwenyekiti wa Chadema 2024 na akipata atakuwa Mwenyekiti kwa miaka 30 mfululizo! Ahahahahaha!!!
Hawa wazee wajinga sana, amesahau ni nini serikalini? kutwa vijana mjiajiri lakini wao wanataka kufia madarakaniMkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza.
Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo.
Huyu hapa
Ni majangili tupuWanasiasa wetu wa hovyo sana.
Maisha yao yote wanawaza kutupiga tu aisee.
Utaalamu wa kumbikumbi kujenga nyumba zao 😆🤣 ... Natania boss. Ila Mzee anazingua.Huyu mzee huwa ni Profesor wa kitu gani?
Kuna wakati nlikuwaga na ofisi kwenye jengo lile la biashara complex kino mwananyamala,naye alikuwa na ofisi yake hapoPedeshee Kapuya hajawahi kuwa na aibu, nilimfahamu vizuri kwenye matamasha ya Akudo Impact
😆😆😆😆😆Kuna wakati nlikuwaga na ofisi kwenye jengo lile la biashara complex kino mwananyamala,naye alikuwa na ofisi yake hapo
Huyu mzee bana Ana mambo mengi aise 😄
Ova
Mambo ya botanyHuyu mzee huwa ni Profesor wa kitu gani?