Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa ndo kipindi ule ugonjwa wa kizungu umeingia kwa mwendo kasiAnd he died so young. R.I.P Prof.
Kawafundisha hao watu waliotajwa kama lipumba,Semboja,Beno Ndulu na JK.....Usomi wake wa karne umesaidia vipi watanzania?
Unataka faida gani zaidi uzione, umeshaambiwa kawafundisha akina lipumba, jk, ndulu na wengine wengi huoni kama hiyo ni faida wanataaluma wa uchumi waongezeka na wengine wapo waliofundishwa na kina lipumba na wanafundisha vyuo vingine au ulitaka faida mpaka alete hela?Usomi wake wa karne umesaidia vipi watanzania?
Kwa hiyo unataka kutumbia jk angeishia kidato cha pili angekuwa rais? elimu nayo ni kigezo cha yeye kuchaguliwaahahaha kweli unachekesha.Nani kakuambia Kikwete alichaguliwa kwasababu ya elimu yake?
Ni vizuri ww ndio ungesema utaendelea kwani hata mganga wa kienyeji huwa anabashili kutokana na maelezo ya mgonjwaUmejuaje kuwa haijaisha?
Angesikitishwa sana na utendaji wa mwanafunzi wake aliyetokea kuwa rais wa nchi, asiyejua kwa nini nchi ni masikini na aliyetegemea misaada ya nje kwa maendeleo ya nchiKawafundisha hao watu waliotajwa kama lipumba,Semboja,Beno Ndulu na JK.....
Eh!!! Alifriki akiwa bado kabisa!!!!! 40 kwa miaka hii wewe ni kijana bado!!!!!MSOMI WETU WA KARNE.
Kijiji cha Katoma kipo Mkoani Kagera.Tarehe 28/09/1942 alizaliwa kijana mmoja mtanashati wa mwonekano na kichwani.Huyu ni Justinian Rweyemamu, moja wa wasomi hodari kuwahi kutokea kwenye kijiji hicho na Tanzania nzima.
Inasemekana akiwa shule ya Upili Ihungo aliongoza mtihani wa Cambrige kwa Jumuia ya Madola, na kupata ufadhili wa masomo katika Chuo KikuEhu cha Fordham, na baadae kusoma Phd katika Chuo Kikuu cha Havard.
Katika umri mdogo sana, alipata Phd , aliandika vitabu kadhaa kuhusu historia ya uchumi wa Tanzania, kuwa mhadhiri na Mkuu wa Idara ya Uchumi wa kwanza mzawa UDSM, kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mipango na Mshauri Mkuu wa Rais (Nyerere) katika masuala ya uchumi.
Mwaka 1977 alienda kufanya kazi UN kwa kile kinachosemwa kutofautiana na Mwalimu Nyerere kuhusu sera za uchumi.
Profesa Justinian Rweyemamu amewafundisha uchumi akina Prof. Lipumba, Prof. Benno Ndulu, Jakaya Kikwete,Prof.Juma Semboja,n.k.
Alifariki tarehe 30/03/1982 New York akiwa na umri wa miaka 40.
ujumbe wako ni sawa na mtu anaeleza "Juma alipomaliza chuo kikuu alijiunga na jeshi akaenda vitani akapigwa risasi akafa".Umejuaje kuwa haijaisha?
Alikufa kwa CancerUkosefu wa kinga mwilini
Ihungo Secondary haijawahi kuwa shule ya Upili -Sahihisha.MSOMI WETU WA KARNE.
Kijiji cha Katoma kipo Mkoani Kagera.Tarehe 28/09/1942 alizaliwa kijana mmoja mtanashati wa mwonekano na kichwani.Huyu ni Justinian Rweyemamu, mmoja wa wasomi hodari kuwahi kutokea kwenye kijiji hicho na Tanzania nzima.
Inasemekana akiwa shule ya Upili Ihungo aliongoza mtihani wa Cambrige kwa Jumuia ya Madola, na kupata ufadhili wa masomo katika Chuo Kikuu cha Fordham, na baadae kusoma Phd katika Chuo Kikuu cha Havard.
Katika umri mdogo sana, alipata Phd , aliandika vitabu kadhaa kuhusu historia ya uchumi wa Tanzania, kuwa mhadhiri na Mkuu wa Idara ya Uchumi wa kwanza mzawa UDSM, kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mipango na Mshauri Mkuu wa Rais (Nyerere) katika masuala ya uchumi.
Mwaka 1977 alienda kufanya kazi UN kwa kile kinachosemwa kutofautiana na Mwalimu Nyerere kuhusu sera za uchumi.
Profesa Justinian Rweyemamu amewafundisha uchumi akina Prof. Lipumba, Prof. Benno Ndulu, Jakaya Kikwete,Prof.Juma Semboja,n.k.
Alifariki tarehe 30/03/1982 New York akiwa na umri wa miaka 40.
Ahaaaaaa... AhaaaaaaKufauru Mitihani kwa Watanzania nje ya Nchi tena katika vyuo bora kitu cha kawaida tuu hicho....huyo ni msomi wa karne katika hicho kijiji na si Tanzania nzima...
Mmh....aisee kumbee??Ukosefu wa kinga mwilini
Ingekuwa vizuri zaidi wewe mwenyewe ungesema shule ya upili ni ipi nadhani angesahihisha vizuri mkuuIhungo Secondary haijawahi kuwa shule ya Upili -Sahihisha.