MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Watanzania wengi sana tu wamesoma IVY LEAGUE na vyuo vingine vikubwa tu duniani. Mpaka sasa kuna watanzania wengi wanaendelea kusoma huko. Nadhani siyo sahihi kuwataja majina yao hapa kwasababu ya faragha. Ila wanasiasa wakubwa nitawataja.
Watanzania wenye akili wapo wengi tu, sema ndiyo wamejaa Private Sector na wengine hawarudi Bongo. Kuna jamaa yangu tumekuwa naye alisoma ISM baadaye akaenda Marekani na kusoma chuo kikubwa lakini familia yake imemkatalia kabisa asirudi Bongo. Kuna dada mwingine tuliwahi kufanya naye kazi, ana akili balaa. Yeye alisoma ISM baadaye akaenda kusoma chuo kikubwa nchini Uingereza lakini naye ndiyo hivyo...
- Mzee Benjamini Mkapa (Columbia University New-York)
- Prof Kighoma Malima (Yale University and Princeton University)
- Balozi Emmanuel Mwambulukutu (Princeton University)
- Prof Bonaventure Rutinwa (Oxford University)
- Mzee Andrew Chenge (Harvard University)
- Justice Dr. Gerald Ndika (Cambridge University)
- Prof Delphin Rwegasira (Harvard University)
- Dr Salim Ahmed Salim (Columbia University New-York)
- Prof Matthew Luhanga ( Columbia University New-York)
Watanzania wenye akili wapo wengi tu, sema ndiyo wamejaa Private Sector na wengine hawarudi Bongo. Kuna jamaa yangu tumekuwa naye alisoma ISM baadaye akaenda Marekani na kusoma chuo kikubwa lakini familia yake imemkatalia kabisa asirudi Bongo. Kuna dada mwingine tuliwahi kufanya naye kazi, ana akili balaa. Yeye alisoma ISM baadaye akaenda kusoma chuo kikubwa nchini Uingereza lakini naye ndiyo hivyo...