Profesa Justinian Rweyemamu (1942-1982): Msomi wetu wa karne

Profesa Justinian Rweyemamu (1942-1982): Msomi wetu wa karne

Pamoja na usomi wake wa Havard nn kikubwa alitufanyia watanzania tuendelee kujivunia?
 
Huyu ndiye mtanzania wa Kwanza kusoma Havard university (Ph.D ya Uchumi)

Havard university ni chuo namba moja kwa ubora duniani, kwahiyo ukiona mtu amesoma hiki chuo muheshimu sana.
Je alikuwa admitted as an undergraduate?

Yasemekana hakuna mtanzania yeyote ama mtu yeyote kutoka Africa mashariki na kati ama maziwa makuu kusoma Oxford university kama undergraduate.

Wapo wachache Sana waliokuwa admitted kutoka Africa kama yule dogo baba yake jamaa wa south Africa alikuwa akimgonga Winnie wakat Mandela akiwa gerezani. Wazee wa ANC walimaindi Winnie kugongwa na kijana mdogo.

Dogo mtata Sana aliratibu maandamano Oxford Sanam ya Cecil Rhodes iondolewe viungani chuon Hadi akashinda. Japo mama yake mzungu anajuta kuwa na damu ya kizubgu
 
Je alikuwa admitted as an undergraduate?

Yasemekana hakuna mtanzania yeyote ama mtu yeyote kutoka Africa mashariki na kati ama maziwa makuu kusoma Oxford university kama undergraduate.

Wapo wachache Sana waliokuwa admitted kutoka Africa kama yule dogo baba yake jamaa wa south Africa alikuwa akimgonga Winnie wakat Mandela akiwa gerezani. Wazee wa ANC walimaindi Winnie kugongwa na kijana mdogo.

Dogo mtata Sana aliratibu maandamano Oxford Sanam ya Cecil Rhodes iondolewe viungani chuon Hadi akashinda. Japo mama yake mzungu anajuta kuwa na damu ya kizubgu
Huyu alisoma Havard na siyo oxford, alikuwa admitted masters & Ph.D.
Kusoma hivyo vyuo siyo mchezo ndugu, mpaka sasa kwa Tanzania, watu waliosoma Havard nawafahamu wawili tu, huyu na Benjamin Ferdinandez.
 
Huyu ndiye mtanzania wa Kwanza kusoma Havard university (Ph.D ya Uchumi)

Havard university ni chuo namba moja kwa ubora duniani, kwahiyo ukiona mtu amesoma hiki chuo muheshimu sana.

Justinian F Rweyemamu alizaliwa Katoma Bukoba mkoani Kagera tarehe 23/09/1942.

Mwaka 1958 alijiunga na shule ya St Thomas More college Ihungo iliyokuwa chini ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya masomo ya shule ya msingi, ambapo darasani kwao aliibuka kinara wa darasa. Baada ya hapo mwaka 1961 akapelekwa Marekani Fordham University, ambapo mwaka 1965 alihitimu katika chuo hicho shahada ya kwanza (Bachelor degree in economics, applied mathematics & philosophy).

Mwaka 1971 alihitimu shahada ya uzamivu (Ph.D, thesis 'An Industrial Strategy for Tanzania') Havard university akiwa chini ya fellowship ya Rockefeller foundation.

Akiwa Havard walimu wake walikuwa ni Albert Hirschman, Thomas Weisskopf wataalam wa uchumi duniani.

Rweyemamu pia alihudumu katika chuo kikuu cha Dar es salaam, huku baadhi ya Wanafunzi wake wakiwa Jakaya Kikwete Rais mstaafu wa Tanzania, Benno Ndulu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania mstaafu, Ibrahim Lipumba na Delphine Rwegasira mtaalamu wa uchumi.

Justinian Rweyemamu alifariki tarehe 30/03/1982 NewYork Marekani akiwa na miaka 40 tu.

Huyo ndo Rweyemamu, Muhaya na Mtanzania wa kwanza kusoma Havard university.

Mtanzania mwingine aliyesoma Havard university ni Benjamin Ferdinandez mkurugenzi wa Nala.

Chini[emoji116] ni Picha yake.

View attachment 2289355
Mpaka sasa sielewi, hapa katikati kitu gani kiliwakuta Wahaya, kwa Tanzania na EA kwa ujumla walitakiwa kuwa mbali sana.
 
Weka historia hiyo vizuri, umesema mwaka 1958 alianza Elimu yake ya msingi na hapo unasema mwaka 1961 alijiunga na chuo kikuu, je imewezekana vipi mwanafunzi wa darasa la tatu akaingia chuo kikuu moja kwa moja?
 
Je alikuwa admitted as an undergraduate?

Yasemekana hakuna mtanzania yeyote ama mtu yeyote kutoka Africa mashariki na kati ama maziwa makuu kusoma Oxford university kama undergraduate.

Wapo wachache Sana waliokuwa admitted kutoka Africa kama yule dogo baba yake jamaa wa south Africa alikuwa akimgonga Winnie wakat Mandela akiwa gerezani. Wazee wa ANC walimaindi Winnie kugongwa na kijana mdogo.

Dogo mtata Sana aliratibu maandamano Oxford Sanam ya Cecil Rhodes iondolewe viungani chuon Hadi akashinda. Japo mama yake mzungu anajuta kuwa na damu ya kizubgu
Hivyo vyuo Kusoma uwe kichwa kweli kweli au wakuchague wao kwa lengo lao la badae.
 
Huyu alisoma Havard na siyo oxford, alikuwa admitted masters & Ph.D.
Kusoma hivyo vyuo siyo mchezo ndugu, mpaka sasa kwa Tanzania, watu waliosoma Havard nawafahamu wawili tu, huyu na Benjamin Ferdinandez.
Watanzania waliosoma Havard ni wengi tu, na sio lazima uwafahamu wote.
 
Huyu alisoma Havard na siyo oxford, alikuwa admitted masters & Ph.D.
Kusoma hivyo vyuo siyo mchezo ndugu, mpaka sasa kwa Tanzania, watu waliosoma Havard nawafahamu wawili tu, huyu na Benjamin Ferdinandez.
Mkuu ndio siyo mchezo. Ila wengi wanasoma kama postgraduate. Ni nadra Sana havard kusoma kama undergraduate. Wapo ndio admitted havard kama undergraduate Yani straight from A level Equivalent lakini huko kwa bibi Oxford university hamna undergraduate kutoka bongo na maziwa makuu. Kina chenge kipilimba wamesoma Oxford havard kama postgrad.

Ila Kuna kakozi flani ka English as second language nakavizia kanatolewa Oxford one year course hakahitaji masharti kujiunga ila ni pauni za bibi 18k. Nataka nikasome angalau nipate gamba la Oxfodi niwe mtu kati ya watu walioshi na watu na waliona watu.
 
Hata Chenge amesoma Havard University lkn bado katiba inasema Kiongozi wa juu wa Tume ya uchaguzi anateuliwa na Rais ambaye pia ni mgombea.

Nchi ya kufikirika hii
 
Mkuu ndio siyo mchezo. Ila wengi wanasoma kama postgraduate. Ni nadra Sana havard kusoma kama undergraduate. Wapo ndio admitted havard kama undergraduate Yani straight from A level Equivalent lakini huko kwa bibi Oxford university hamna undergraduate kutoka bongo na maziwa makuu. Kina chenge kipilimba wamesoma Oxford havard kama postgrad.

Ila Kuna kakozi flani ka English as second language nakavizia kanatolewa Oxford one year course hakahitaji masharti kujiunga ila ni pauni za bibi 18k. Nataka nikasome angalau nipate gamba la Oxfodi niwe mtu kati ya watu walioshi na watu na waliona watu.
Pambana ulitimize hilo mkuu.
 
Back
Top Bottom