Hahahaha naona timu ile ya kufeli ya akina nep chaliii, Dkt Magufuli alikuwa jabari!
Ni fitu fisuri rafiki.
Maana yake ni sisi hatujamboJa a wakati Kabudi ana wasalimu Wamaasai Samia tobiko alijibiwa twaa
Je? Alijua maana ya lile jibu?
wamasai watusaidie translation
ni muhimu kwa sisi tusifahamu kimasai, maana inaleta chance ya upotoshaji huku mitandaoniHata Kabudi tu usiwasumbue wamasai bure. Hao wameshachafukwa!
ni muhimu kwa sisi tusifahamu kimasai, maana inaleta chance ya upotoshaji huku mitandaoni
Maana yake ni sisi hatujambo
Ole Sosopi njoo utafsiri
🤣🤣🤣 Ila we jamaa msumbufu
🤣🤣🤣 Ila we jamaa msumbufu
🤣🤣🤣 Okee okeeNi haki ya msingi: "to stand your ground." Beberu anasema.