- Thread starter
- #61
Nani asiyekujua wewe mfuasi wa mbowe uliyehamia CCM kwa mkopo kisa Kabudi kasoma UDSm uliyosoma wewe.
Nihamie CCM kufanya nini ndugu?
Ukweli wa wazi, watu kama ninyi mnatuletea medali tusiyoipenda nchini na Afrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani asiyekujua wewe mfuasi wa mbowe uliyehamia CCM kwa mkopo kisa Kabudi kasoma UDSm uliyosoma wewe.
Nilichogundua kwa hii discussion fupi ,Nihamie CCM kufanya nini ndugu?
Ukweli wa wazi, watu kama ninyi mnatuletea medali tusiyoipenda nchini na Afrika.
Nilichogundua kwa hii discussion fupi ,
Ni mweupe sana kichwani.
Kwaheri.
🪂Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu
Mnaojadili hili mnajadili upumbafu!!
Sijasema nanyi ni nani lkn ninani sasa?
Tatizo vitu ambavyo CCM hutoa kama rushwa Masai huwa hawavihitaji:
Ubwabwa huwa hawali.
Kofia huwa hawavai.
T-shirt huwa hawavai.
Khanga huwa hawafungi.
Chumvi huwa hawatumii
Bongo flavor huwa hawachezi.
Masai Tobikoo💪
"Mama Yao Yoyo"😭
Kwa kosa gani Hadi wauawe?Hatuwezi kurudi huko "zamani"...
Madola ya zamani yangepeleka "vifaru" huko yakafanya yale yaliyofanywa "Tianmen Square"...
#Nchi Kwanza[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ingekua wamakonde au wangoni kumbe issue ingekua ndogo Sana.Tatizo vitu ambavyo CCM hutoa kama rushwa Masai huwa hawavihitaji:
Ubwabwa huwa hawali.
Kofia huwa hawavai.
T-shirt huwa hawavai.
Khanga huwa hawafungi.
Chumvi huwa hawatumii
Bongo flavor huwa hawachezi.
Masai Tobikoo💪
"Mama Yao Yoyo"😭
Nawewe kama jinga kuu ulitupa point nyingi zaidi 😅.Ujinga ni kipaji.
View attachment 3078008
Bila shaka hii ndiyo medali tuliyopata Olympic Paris kwa aina yenu.
kama kweli hao watu wanaishi eneo linalopaswa kupisha basi idadi ya watu ni kubwa sana na ngorongoro haiwezi himili, ila naona kuna wamang'ati wachagga na wanyaturu wamejichanganya humo, sio kila mwenye shuka jekundu ni mmasai,
ufanyike utambuzi kujua wamasai wangorongoro halisi ni wapi na wamangati ni wapi ili maamuzi yafanyike kwa usahihi.
Nawewe kama jinga kuu ulitupa point nyingi zaidi 😅.
Unaacha kujadili hoja muhimu unaleta utumbo eti "asokota kimasai" rubbish kabisa yaani matoope (in lisu's voice)