Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Inasikitisha Sana mtu mzima asiye na njaa ya kijinga halafu msomi akijidhalilisha mbele ya watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha Sana mtu mzima asiye na njaa ya kijinga halafu msomi akijidhalilisha mbele ya watu.
Ja a wakati Kabudi ana wasalimu Wamaasai Samia tobiko alijibiwa twaa
Je? Alijua maana ya lile jibu?
Maana yake ni AFEMaana yake ni sisi hatujambo
Maana yake ni AFE
kwa mtu makini kama mimi ni muhimu kupata muda wa kutosha kufahamu, kuelewa kwa undani na zaidi sana kujiridhisha kwanza kabla ya kuema ni uongo ama ni kweli 🐒Kama ndivyo basi itakuwa ndiyo sababu ya zile dana dana.
To yeye, johnthebaptist, Tlaatlaah au nasema uongo?
Nina watoto sitaki kufaKama ndivyo basi itakuwa ndiyo sababu ya zile dana dana.
To yeye, johnthebaptist, Tlaatlaah au nasema uongo?
Nina watoto sitaki kufa
binafsi huwa nazungumzia sana kuhusu issues na sio mtu 🐒
Jitoe mhanga boss,usiishie kuandika hapaSi imeandikwa kwenye misahafu kuwa kwa hakika tutakufa?
Kwani hata sisi tulio hai leo, tuna umuhimu au ubora gani kuwazidi hao waliotutangulia?
Kusoma kwenye ni kujidhalilisha mbele ya watu.....Inasikitisha Sana mtu mzima asiye na njaa ya kijinga halafu msomi akijidhalilisha mbele ya watu.
Hatuwezi kurudi huko "zamani"...Hawa Wamasai wa sasa sio kama wale wa zamani, hawa wa sasa wamestaarabika, ingelikuwa ni wale wa zamani Palamagamba Kabudi angekutana na "Mvua ya Mishale"
Kabudi:"...Samia Tobiko!!..."
Wamasai: ..Erro!, hii Laiyoni..."
View attachment 3077917
[emoji1787][emoji1787]Jitoe mhanga boss,usiishie kuandika hapa