To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🥴🙄Kwa mawazo kama yako, hakuna katiba mpya hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥴🙄Kwa mawazo kama yako, hakuna katiba mpya hapa!
Kabisa, TANZANIA KWANZA.#Nchi Kwanza
Unaisokotaje lugha kwa neno moja?Bila shaka ilikuwa katika kuitumia falsafa ya Mandela:
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his own language, that goes to his heart." -- Nelson Mandela.
Asijue kumbe kama nyati waliojeruhiwa, wamasai walikuwa hawana cha mswalia mtume!
Soma Pia: Makonda, Lukuvi pamoja na Kabudi walekea ziarani Ngorongoro
Unaisokotaje lugha kwa neno moja?
Maneno? Wewe umesikia hayo maneno?Kwani wewe unajua maana yake?
Kusokota lugha ni kuweka maneno ambayo wengine hatuelewi.
Kusoma kwenye ni kujidhalilisha mbele ya watu.....
Msomi aliyeelewa usomi kuwa ni kuwatumikia watu basi hawezi kufanya "ikramu-kujikweza" bali "idhilali-kujidhalilisha-debasement".
Prof.Kabudi ni msomi mwenye kuuishi usomi [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maneno? Wewe umesikia hayo maneno?
He was great!!"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his own language, that goes to his heart." -- Nelson Mandela.
Masai ni vionambali,Asijue kumbe kama nyati waliojeruhiwa, wamasai walikuwa hawana cha mswalia mtume!
He was great!!
Hamna kimasai hapo.
Mwenyekiti yupi mbona unakua kama mlevi na mvuta bangi.Vipi kaguswa mwenyekiti kpnz chako?
Mwenyekiti yupi mbona unakua kama mlevi na mvuta bangi.
Usifikiri kila mtu ana muda wa kujibizana ujinga kila wakati.Kwani mwenyekiti wako umemsahau?
Usifikiri kila mtu ana muda wa kujibizana ujinga kila wakati.
Nani asiyekujua wewe mfuasi wa mbowe uliyehamia CCM kwa mkopo kisa Kabudi kasoma UDSm uliyosoma wewe.