Profesa Kabudi anatuongopea? Inasemekana Tanzania na Burundi ziliomba kutoshiriki mkutano wa EAC

Profesa Kabudi anatuongopea? Inasemekana Tanzania na Burundi ziliomba kutoshiriki mkutano wa EAC

Ukiwa na kadi ya ccm lazima akili yako iwe na ubabaifu
Yani una hadhi ya profesa halafu unajidhalilisha hivi sababu ya tumbo!!!
 
tatizo wanataka tujadili vitu ilhali wanajua sisi msimamo wetu ni tofauti kabisa na wao na HATUKO TAYARI KUBADILI MSIMAMO, sasa tukajadili nini!
Si angalao ueleze msimamo wako ili ijulikane wazi, kwani kuna nini cha kuficha au kuhofia?
 
Uongo umekuwa ndio dili la Awamu hii ya laana
Hebu msikilize Mkuu wa Mkoa wa Songwe akisema Tunduma haina mgonjwa hata mmoja wakati Nakonde wanakimbilia 300

Msikilize[emoji116]
Labda ile dawa ya Madagascar au ile ya NIMR imeshafanya yake kule Tunduma,hahah.
 
Leo hii Dr. Vincent Biruta anauthibitishua ulimwengu namna Prof. Kabudi alivyo muongo muongo na mzushi kama sisi wengine tunavyomjua.

Prof. Kabudi alidai kuwa mkutano uliofanyika juzi hauihusu Tanzania bali ni wa northern corridor.

Yeye Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda amesema kuwa Tanzania yenyewe iliomba kutokushiriki mkutano wa wakuu wa EAC huku akidai kuwa Burundi nayo ilisema kuwa ina Uchaguzi Mkuu hivyo haitashiriki mkutano huo.

Prof. acha kuwa muongo. Mtu mzima tena waziri na unadai kuwa umeokoka, uongo haukusaidii.

Ukiona mtu anaongea katoa macho kama mamba fahamu kabisa ni fix

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa mambo ya nje, Dkt. Vincent Biruta amesema, Tanzania iliomba kutokushiriki mkutano wa EAC uliofanyika hivi karibuni. Burundi wao walisema hawatashiriki kwakuwa wana uchaguzi.


Huyu Prof Uchwara simsikilazagi tokea atuingize chaka swala la Makinikia na kutapeliwa na wale vijana wa Kenya kwenye swala Korosho....Na hivi katoka kunywa "mataputapu" ya Madagascar atakuwa kachanganyikwa kabisa
 
We nawe unaongea mashudu tu. Ndivyo alivyokutuma bwana andunje wa huko mjengoni?
Kama wewe unatumwa na mabasha wako sio mimi. Mimi ni mtanzania ninaye thamini utu wangu na maslahi ya nchi yangu. Kama wewe unatumiwa na wakoma wako hao endelea kufanya hivyo.

Lakini zingatia kuwa kwenye uhai wangu hakuna kitu kiitwacho EAC katika mipaka yetu. Kama unataka kufumisha EAC kwa conditions zilizopo ningekushauri utafute nchi nyingine. Nenda Kenya au huko Rwanda.

Usiwe juha kijana. Ondoa matongotongo yako usoni. Usiwe limbukeni wa vitu visivyo vyako ukajiona unajua kila kitu. Wewe hujui kitu ni kasuku ambaye ana bwabwaja vitu asivyo vijua. Utauza mpaka back yako kwa kushabikia upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa mambo ya nje, Dkt. Vincent Biruta amesema, Tanzania iliomba kutokushiriki mkutano wa EAC uliofanyika hivi karibuni. Burundi wao walisema hawatashiriki kwakuwa wana uchaguzi.


Jalalani si pazuri
 
Sasa ni kitu gani alichoongopa?
Ndiyo yeye amekataa kwa niaba ya watanzania kushiriki katika mkutano huo. Sasa tatizo ni nini? Hatutaki watatulazimisha?

Kijana usipende kudakia dakia mambo ambayo huyajui kama mashoga wa kisutu. Kabla huja andika upuuzi wako huu jaribu kwanza kuuliza kwanini watanzania au serikali ya Tanzania haiko sharp sana na huo mkutano wa EAC. Waulize wahenga wakufumbue macho kuhusu kuvunjika kwa EAC.

Umejiuliza kwanini Rais Magufuli wakati wa kupokea Dreamliner yetu ya pili alimpa Pilot wetu aliyeiokoa ndege moja ya VC 10 isitaifishwe na wakenya TZs milion 10?
Rais alifanya hivyo kwa kitendo chake cha ushujaa alichokifanya. Kijana soma history.

Baada ya Mzee Jomo Kenyatta kuaga dunia chini ya Rais Arap Moi wakenya walibadilika ghafla na kutuona sisi kama ni maadui zao. Hii chuki walikuwa wamepandikizwa na wafadhili wao; Waingereza, Wajerumani, waholanzi na waamerika kwa sababu ya mfumo wetu wa ujamaa wakati ule.

Ndugu zetu walio kuwa wanafanya kazi kwenye hiyo jumuia ya Afrika Mashariki Mombasa wakenya waliwa damp mpakani bila vitu vyao, masikini! Najua wewe ungefanyiwa hivyo ungewapa hata back yako wakaitia vidole. Wewe ni nyang'au mkubwa sana!

Kwa msimamo huu generation ambayo tumelelewa na Mwalim Nyerere hatuta kubali kuingia makubaliano yoyote ya EAC tena mpaka tumeona wakenya na majirani zetu wengine wako kweli serious na hii issue. Vinginevyo hatutakuwa tunamtendea haki Mwasisi wa Taifa letu tukufu la Tanzania kwa shida alizozipata na hao makachero mpaka zikampelekea kuyaacha madaraka kwa hiari yake mwenyewe.

Sisi tukiondoka kama nyie mtaamua kuiuza nchi yenu, fanyeni hivyo. Lakini sio katika uhai wetu. Tutailinda nchi yetu kwa nguvu zote.

Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutotia sain faster faster wa mkataba wa kufufua EAC.
Katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi shuhudia jinsi binadam wanavyo wafanyia binadam wenzao unyama kama wakenya walivyo tufanyia sisi kwenye hili sakata la EAC.

Tuendelee tu hivi hivi na ujirani mwema kwa jinsi itakavyo bidi, lakini kujiingizia tena kwenye mikataba isiyo na uhakika vizazi vya Mwalim Nyerere tunasema No! Nasema tena No! Na tena No! No! No!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijakuelewa kabisa kwa hiyo Tanzania tumeshajiondoa EAC au unamaanisha nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijakuelewa kabisa kwa hiyo Tanzania tumeshajiondoa EAC au unamaanisha nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya EAC? Huo mkataba na sheria za EAC ziko wapi?

Usifananishe kati ya EAC na na Kanda za EA. Sisi tuko kwenye nchi za kanda ya EA lakini hatuko katika community ya EA. Nitumie hiyo kopi ambayo Rais wetu alisaini ya kuwa member wa EAC baada ya kujitoa 1977.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya EAC? Huo mkataba na sheria za EAC ziko wapi?

Usifananishe kati ya EAC na na Kanda za EA. Sisi tuko kwenye nchi za kanda ya EA lakini hatuko katika community ya EA. Nitumie hiyo kopi ambayo Rais wetu alisaini ya kuwa member wa EAC baada ya kujitoa 1977.

Sent using Jamii Forums mobile app
Njia panda kabsa kwahiyo Mh Mkapa akusaini??!!! kweli Tz mi mgeni kama ni hivyo nawalaumu walimu wangu wa civics kwa hilo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya EAC? Huo mkataba na sheria za EAC ziko wapi?

Usifananishe kati ya EAC na na Kanda za EA. Sisi tuko kwenye nchi za kanda ya EA lakini hatuko katika community ya EA. Nitumie hiyo kopi ambayo Rais wetu alisaini ya kuwa member wa EAC baada ya kujitoa 1977.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo umejibu swali langu? Fafanua kwanza maana ya EAC & EA halafu jibu swali langu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom