Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
E e e e majanga sasa na walimu tena wameingizwa kwenye lawama!Njia panda kabsa kwahiyo Mh Mkapa akusaini??!!! kweli Tz mi mgeni kama ni hivyo nawalaumu walimu wangu wa civics kwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yanguuuuuu!Kuna kila dalili kuwa hili li-nchi linajiendea tuu kimzobemzobe
Irrelevant reasoning.Sasa ni kitu gani alichoongopa?
Ndiyo yeye amekataa kwa niaba ya watanzania kushiriki katika mkutano huo. Sasa tatizo ni nini? Hatutaki watatulazimisha?
Kijana usipende kudakia dakia mambo ambayo huyajui kama mashoga wa kisutu. Kabla huja andika upuuzi wako huu jaribu kwanza kuuliza kwanini watanzania au serikali ya Tanzania haiko sharp sana na huo mkutano wa EAC. Waulize wahenga wakufumbue macho kuhusu kuvunjika kwa EAC.
Umejiuliza kwanini Rais Magufuli wakati wa kupokea Dreamliner yetu ya pili alimpa Pilot wetu aliyeiokoa ndege moja ya VC 10 isitaifishwe na wakenya TZs milion 10?
Rais alifanya hivyo kwa kitendo chake cha ushujaa alichokifanya. Kijana soma history.
Baada ya Mzee Jomo Kenyatta kuaga dunia chini ya Rais Arap Moi wakenya walibadilika ghafla na kutuona sisi kama ni maadui zao. Hii chuki walikuwa wamepandikizwa na wafadhili wao; Waingereza, Wajerumani, waholanzi na waamerika kwa sababu ya mfumo wetu wa ujamaa wakati ule.
Ndugu zetu walio kuwa wanafanya kazi kwenye hiyo jumuia ya Afrika Mashariki Mombasa wakenya waliwa damp mpakani bila vitu vyao, masikini! Najua wewe ungefanyiwa hivyo ungewapa hata back yako wakaitia vidole. Wewe ni nyang'au mkubwa sana!
Kwa msimamo huu generation ambayo tumelelewa na Mwalim Nyerere hatuta kubali kuingia makubaliano yoyote ya EAC tena mpaka tumeona wakenya na majirani zetu wengine wako kweli serious na hii issue. Vinginevyo hatutakuwa tunamtendea haki Mwasisi wa Taifa letu tukufu la Tanzania kwa shida alizozipata na hao makachero mpaka zikampelekea kuyaacha madaraka kwa hiari yake mwenyewe.
Sisi tukiondoka kama nyie mtaamua kuiuza nchi yenu, fanyeni hivyo. Lakini sio katika uhai wetu. Tutailinda nchi yetu kwa nguvu zote.
Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutotia sain faster faster wa mkataba wa kufufua EAC.
Katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi shuhudia jinsi binadam wanavyo wafanyia binadam wenzao unyama kama wakenya walivyo tufanyia sisi kwenye hili sakata la EAC.
Tuendelee tu hivi hivi na ujirani mwema kwa jinsi itakavyo bidi, lakini kujiingizia tena kwenye mikataba isiyo na uhakika vizazi vya Mwalim Nyerere tunasema No! Nasema tena No! Na tena No! No! No!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndiyo utetezi utakaofuta uongo wa Kabudi?Kama wewe unatumwa na mabasha wako sio mimi. Mimi ni mtanzania ninaye thamini utu wangu na maslahi ya nchi yangu. Kama wewe unatumiwa na wakoma wako hao endelea kufanya hivyo.
Lakini zingatia kuwa kwenye uhai wangu hakuna kitu kiitwacho EAC katika mipaka yetu. Kama unataka kufumisha EAC kwa conditions zilizopo ningekushauri utafute nchi nyingine. Nenda Kenya au huko Rwanda.
Usiwe juha kijana. Ondoa matongotongo yako usoni. Usiwe limbukeni wa vitu visivyo vyako ukajiona unajua kila kitu. Wewe hujui kitu ni kasuku ambaye ana bwabwaja vitu asivyo vijua. Utauza mpaka back yako kwa kushabikia upuuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nashangaa sana kaandika gazeti halafu limejaa upumbavu tupu.Mimi sijakuelewa kabisa kwa hiyo Tanzania tumeshajiondoa EAC au unamaanisha nini mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umetokea kaburi gani ?Unajua maana ya EAC? Huo mkataba na sheria za EAC ziko wapi?
Usifananishe kati ya EAC na na Kanda za EA. Sisi tuko kwenye nchi za kanda ya EA lakini hatuko katika community ya EA. Nitumie hiyo kopi ambayo Rais wetu alisaini ya kuwa member wa EAC baada ya kujitoa 1977.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuuNjia panda kabsa kwahiyo Mh Mkapa akusaini??!!! kweli Tz mi mgeni kama ni hivyo nawalaumu walimu wangu wa civics kwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo hivyo nchi haina leadership tena inajiendea autopilot.Kuna kila dalili kuwa hili li-nchi linajiendea tuu kimzobemzobe
Hahahahahahahah mbwa karudisha mkia chini ya miguu ya nyuma,hua tunaitaje vile....?
Kama anadai mkataba haupo wakati Walimu walinifundisha mkataba wa jumuiya hata shirikisho la EA upo kwa nini nisiwalaum mkuu?!!
Kumbe kikazi cha Nyerere pia kina watu wajingawajinga na wapumba.vu hivi? Mimi nilijua mambo ni magumu kipindi hiki kwa sababu ya shule za Kata. Wacha kumwaibisha Nyerere.Sasa ni kitu gani alichoongopa?
Ndiyo yeye amekataa kwa niaba ya watanzania kushiriki katika mkutano huo. Sasa tatizo ni nini? Hatutaki watatulazimisha?
Kijana usipende kudakia dakia mambo ambayo huyajui kama mashoga wa kisutu. Kabla huja andika upuuzi wako huu jaribu kwanza kuuliza kwanini watanzania au serikali ya Tanzania haiko sharp sana na huo mkutano wa EAC. Waulize wahenga wakufumbue macho kuhusu kuvunjika kwa EAC.
Umejiuliza kwanini Rais Magufuli wakati wa kupokea Dreamliner yetu ya pili alimpa Pilot wetu aliyeiokoa ndege moja ya VC 10 isitaifishwe na wakenya TZs milion 10?
Rais alifanya hivyo kwa kitendo chake cha ushujaa alichokifanya. Kijana soma history.
Baada ya Mzee Jomo Kenyatta kuaga dunia chini ya Rais Arap Moi wakenya walibadilika ghafla na kutuona sisi kama ni maadui zao. Hii chuki walikuwa wamepandikizwa na wafadhili wao; Waingereza, Wajerumani, waholanzi na waamerika kwa sababu ya mfumo wetu wa ujamaa wakati ule.
Ndugu zetu walio kuwa wanafanya kazi kwenye hiyo jumuia ya Afrika Mashariki Mombasa wakenya waliwa damp mpakani bila vitu vyao, masikini! Najua wewe ungefanyiwa hivyo ungewapa hata back yako wakaitia vidole. Wewe ni nyang'au mkubwa sana!
Kwa msimamo huu generation ambayo tumelelewa na Mwalim Nyerere hatuta kubali kuingia makubaliano yoyote ya EAC tena mpaka tumeona wakenya na majirani zetu wengine wako kweli serious na hii issue. Vinginevyo hatutakuwa tunamtendea haki Mwasisi wa Taifa letu tukufu la Tanzania kwa shida alizozipata na hao makachero mpaka zikampelekea kuyaacha madaraka kwa hiari yake mwenyewe.
Sisi tukiondoka kama nyie mtaamua kuiuza nchi yenu, fanyeni hivyo. Lakini sio katika uhai wetu. Tutailinda nchi yetu kwa nguvu zote.
Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutotia sain faster faster wa mkataba wa kufufua EAC.
Katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi shuhudia jinsi binadam wanavyo wafanyia binadam wenzao unyama kama wakenya walivyo tufanyia sisi kwenye hili sakata la EAC.
Tuendelee tu hivi hivi na ujirani mwema kwa jinsi itakavyo bidi, lakini kujiingizia tena kwenye mikataba isiyo na uhakika vizazi vya Mwalim Nyerere tunasema No! Nasema tena No! Na tena No! No! No!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni li-brainwash wala halina habari kama Jumuiya ya Afrika Mashariki ilitengamaa miaka mingi na makao makuu ni Arusha na Tanzania ni mwanachama hai..Ni wa kumpuuza.Mimi sijakuelewa kabisa kwa hiyo Tanzania tumeshajiondoa EAC au unamaanisha nini mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe sio mtu wa majadilianotatizo wanataka tujadili vitu ilhali wanajua sisi msimamo wetu ni tofauti kabisa na wao na HATUKO TAYARI KUBADILI MSIMAMO, sasa tukajadili nini!
Sio Rais Mkapa ni Rais Kikwete. Unajua lakini maana ya EAC? EAC ipo lakini sio kama ya wakati ule kabla ya 1977. Shilingi ya Tanzania, Kenya na Uganda ilikuwa na thamani moja. Wafanyakazi wa EAC walikuwa na privilege kubwa sana ya kikazi na maisha katika hizi nchi. Tuliishi vizuri kwa kushirikiana na kuaminiana. Tulikuwa na EA Railway, Habour na Ndege. Tulikuwa kitu kimoja mpaka Moi aliposhika madaraka.Njia panda kabsa kwahiyo Mh Mkapa akusaini??!!! kweli Tz mi mgeni kama ni hivyo nawalaumu walimu wangu wa civics kwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Professor wa Jalalani amezidi kwa uongo. Halafu ni mtoto wa mchungaji.....!!Waziri wa mambo ya nje, Dkt. Vincent Biruta amesema, Tanzania iliomba kutokushiriki mkutano wa EAC uliofanyika hivi karibuni. Burundi wao walisema hawatashiriki kwakuwa wana uchaguzi.