Profesa Kabudi anatuongopea? Inasemekana Tanzania na Burundi ziliomba kutoshiriki mkutano wa EAC

Profesa Kabudi anatuongopea? Inasemekana Tanzania na Burundi ziliomba kutoshiriki mkutano wa EAC

Sasa ni kitu gani alichoongopa?
Ndiyo yeye amekataa kwa niaba ya watanzania kushiriki katika mkutano huo. Sasa tatizo ni nini? Hatutaki watatulazimisha?

Kijana usipende kudakia dakia mambo ambayo huyajui kama mashoga wa kisutu. Kabla huja andika upuuzi wako huu jaribu kwanza kuuliza kwanini watanzania au serikali ya Tanzania haiko sharp sana na huo mkutano wa EAC. Waulize wahenga wakufumbue macho kuhusu kuvunjika kwa EAC.

Umejiuliza kwanini Rais Magufuli wakati wa kupokea Dreamliner yetu ya pili alimpa Pilot wetu aliyeiokoa ndege moja ya VC 10 isitaifishwe na wakenya TZs milion 10?
Rais alifanya hivyo kwa kitendo chake cha ushujaa alichokifanya. Kijana soma history.

Baada ya Mzee Jomo Kenyatta kuaga dunia chini ya Rais Arap Moi wakenya walibadilika ghafla na kutuona sisi kama ni maadui zao. Hii chuki walikuwa wamepandikizwa na wafadhili wao; Waingereza, Wajerumani, waholanzi na waamerika kwa sababu ya mfumo wetu wa ujamaa wakati ule.

Ndugu zetu walio kuwa wanafanya kazi kwenye hiyo jumuia ya Afrika Mashariki Mombasa wakenya waliwa damp mpakani bila vitu vyao, masikini! Najua wewe ungefanyiwa hivyo ungewapa hata back yako wakaitia vidole. Wewe ni nyang'au mkubwa sana!

Kwa msimamo huu generation ambayo tumelelewa na Mwalim Nyerere hatuta kubali kuingia makubaliano yoyote ya EAC tena mpaka tumeona wakenya na majirani zetu wengine wako kweli serious na hii issue. Vinginevyo hatutakuwa tunamtendea haki Mwasisi wa Taifa letu tukufu la Tanzania kwa shida alizozipata na hao makachero mpaka zikampelekea kuyaacha madaraka kwa hiari yake mwenyewe.

Sisi tukiondoka kama nyie mtaamua kuiuza nchi yenu, fanyeni hivyo. Lakini sio katika uhai wetu. Tutailinda nchi yetu kwa nguvu zote.

Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutotia sain faster faster wa mkataba wa kufufua EAC.
Katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi shuhudia jinsi binadam wanavyo wafanyia binadam wenzao unyama kama wakenya walivyo tufanyia sisi kwenye hili sakata la EAC.

Tuendelee tu hivi hivi na ujirani mwema kwa jinsi itakavyo bidi, lakini kujiingizia tena kwenye mikataba isiyo na uhakika vizazi vya Mwalim Nyerere tunasema No! Nasema tena No! Na tena No! No! No!

Sent using Jamii Forums mobile app
Irrelevant reasoning.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe unatumwa na mabasha wako sio mimi. Mimi ni mtanzania ninaye thamini utu wangu na maslahi ya nchi yangu. Kama wewe unatumiwa na wakoma wako hao endelea kufanya hivyo.

Lakini zingatia kuwa kwenye uhai wangu hakuna kitu kiitwacho EAC katika mipaka yetu. Kama unataka kufumisha EAC kwa conditions zilizopo ningekushauri utafute nchi nyingine. Nenda Kenya au huko Rwanda.

Usiwe juha kijana. Ondoa matongotongo yako usoni. Usiwe limbukeni wa vitu visivyo vyako ukajiona unajua kila kitu. Wewe hujui kitu ni kasuku ambaye ana bwabwaja vitu asivyo vijua. Utauza mpaka back yako kwa kushabikia upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndiyo utetezi utakaofuta uongo wa Kabudi?

Unaandika gazeti zima halafu limejaa upumbavu mbele ya werevu ?

Hivi unadhani dunia ya leo unaweza kumdanganya mtu kitoto namna hii?

Mwambieni Kabudi na ccm wenzenu huko waliko Tanzania ya leo siyo ya Nyerere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya EAC? Huo mkataba na sheria za EAC ziko wapi?

Usifananishe kati ya EAC na na Kanda za EA. Sisi tuko kwenye nchi za kanda ya EA lakini hatuko katika community ya EA. Nitumie hiyo kopi ambayo Rais wetu alisaini ya kuwa member wa EAC baada ya kujitoa 1977.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umetokea kaburi gani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kila dalili kuwa hili li-nchi linajiendea tuu kimzobemzobe
Na ndiyo hivyo nchi haina leadership tena inajiendea autopilot.

Na hili kosa alilifanya JK kwa kuifanya tanzania ionekane every Tom and Dick can be the president of the republic.

Leo nchi inafikia rais anaenda kufanyia kazi za umma getoni kwake anaapisha viongozi wa umma bar kweli hii ndiyo Tanzania mpya ?

Mawaziri hawaoni aibu kudanganya umma wazi wazi ndiyo Tanzania tunayoitaka hii ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2400499_EYD6JANWoAMyJJh.jpg
 

Attachments

  • EYD6JANWoAMyJJh.jpg
    EYD6JANWoAMyJJh.jpg
    67 KB · Views: 2
Sasa ni kitu gani alichoongopa?
Ndiyo yeye amekataa kwa niaba ya watanzania kushiriki katika mkutano huo. Sasa tatizo ni nini? Hatutaki watatulazimisha?

Kijana usipende kudakia dakia mambo ambayo huyajui kama mashoga wa kisutu. Kabla huja andika upuuzi wako huu jaribu kwanza kuuliza kwanini watanzania au serikali ya Tanzania haiko sharp sana na huo mkutano wa EAC. Waulize wahenga wakufumbue macho kuhusu kuvunjika kwa EAC.

Umejiuliza kwanini Rais Magufuli wakati wa kupokea Dreamliner yetu ya pili alimpa Pilot wetu aliyeiokoa ndege moja ya VC 10 isitaifishwe na wakenya TZs milion 10?
Rais alifanya hivyo kwa kitendo chake cha ushujaa alichokifanya. Kijana soma history.

Baada ya Mzee Jomo Kenyatta kuaga dunia chini ya Rais Arap Moi wakenya walibadilika ghafla na kutuona sisi kama ni maadui zao. Hii chuki walikuwa wamepandikizwa na wafadhili wao; Waingereza, Wajerumani, waholanzi na waamerika kwa sababu ya mfumo wetu wa ujamaa wakati ule.

Ndugu zetu walio kuwa wanafanya kazi kwenye hiyo jumuia ya Afrika Mashariki Mombasa wakenya waliwa damp mpakani bila vitu vyao, masikini! Najua wewe ungefanyiwa hivyo ungewapa hata back yako wakaitia vidole. Wewe ni nyang'au mkubwa sana!

Kwa msimamo huu generation ambayo tumelelewa na Mwalim Nyerere hatuta kubali kuingia makubaliano yoyote ya EAC tena mpaka tumeona wakenya na majirani zetu wengine wako kweli serious na hii issue. Vinginevyo hatutakuwa tunamtendea haki Mwasisi wa Taifa letu tukufu la Tanzania kwa shida alizozipata na hao makachero mpaka zikampelekea kuyaacha madaraka kwa hiari yake mwenyewe.

Sisi tukiondoka kama nyie mtaamua kuiuza nchi yenu, fanyeni hivyo. Lakini sio katika uhai wetu. Tutailinda nchi yetu kwa nguvu zote.

Namshukuru sana Rais Jakaya Kikwete kwa uamuzi wake wa kutotia sain faster faster wa mkataba wa kufufua EAC.
Katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi shuhudia jinsi binadam wanavyo wafanyia binadam wenzao unyama kama wakenya walivyo tufanyia sisi kwenye hili sakata la EAC.

Tuendelee tu hivi hivi na ujirani mwema kwa jinsi itakavyo bidi, lakini kujiingizia tena kwenye mikataba isiyo na uhakika vizazi vya Mwalim Nyerere tunasema No! Nasema tena No! Na tena No! No! No!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kikazi cha Nyerere pia kina watu wajingawajinga na wapumba.vu hivi? Mimi nilijua mambo ni magumu kipindi hiki kwa sababu ya shule za Kata. Wacha kumwaibisha Nyerere.
 
Njia panda kabsa kwahiyo Mh Mkapa akusaini??!!! kweli Tz mi mgeni kama ni hivyo nawalaumu walimu wangu wa civics kwa hilo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Rais Mkapa ni Rais Kikwete. Unajua lakini maana ya EAC? EAC ipo lakini sio kama ya wakati ule kabla ya 1977. Shilingi ya Tanzania, Kenya na Uganda ilikuwa na thamani moja. Wafanyakazi wa EAC walikuwa na privilege kubwa sana ya kikazi na maisha katika hizi nchi. Tuliishi vizuri kwa kushirikiana na kuaminiana. Tulikuwa na EA Railway, Habour na Ndege. Tulikuwa kitu kimoja mpaka Moi aliposhika madaraka.

Hii EAC ya sasa inakusudia kupanua na kukuza ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa, kijamii na kitamaduni. Hali ya shirikisho inapaswa kuundwa kwa muda mrefu kwa kuunda umoja wa forodha, soko la kawaida na sarafu ya kawaida. Navyo ona mpaka sasa sijaelewa kitu kinacho endelea. Kuto elewana kwingi!!

Taasisi hizo za pamoja ni pamoja na Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki kwa ajili ya kuangalia mikataba ya Bunge la Afrika Mashariki kama chombo halali cha kidemokrasia.

Mataifa wanachama lazima zibadilishe sheria zao za kitaifa ili kuruhusu utekelezaji kamili wa nyanja zingine za soko la kawaida, kama vile mamlaka ya uhamiaji na forodha. Sijui kama tayari hilo swala limekuwa implemented.

Wakenya wako Sharp na ardhi yetu ambayo bado kwa asilimia kubwa bado iko mikononinmwa serikali. Wakenya kila kitu wamewauzia wazungu ma wahindi. Hao ndiyo wenye say.

Kitu ambacho Rais Kikwete haja tia saini ni makubaliano ya free movement yaani wakenya kwa mfano wanaweza kaja kwetu ma kuwa rights zote za mshamba kama sisi na kadhalika. Hiyo haiko kwenye mada. Wakija wao wataharibu kila kitu ni hatuwataki. Ni wanafiki hao.

Mimi hata mniambie nini, mkenya sita mwamini hata mara moja mpaka kufa. Kama nyie wazazi wenu hawajawaambia walicho tufanyia, mimi sita sahau kwani ndugu zangu walikuwa sehemu ya watu walio kumbwa na janga hilo la kuvunjika kwa EAC na suluba zote walizo zipata.

Uncle wangu alilia kama mtoto mdogo kwa kupoteza kila kitu alicho kuwa nacho na familia yake wakenya walivyo mdamp mpakani na familia yake kinyama.

Hivi sasa nikisikia tu jina Kenya mwili mzima unasisimka. Nawaona wakenya kama wanyama wakali. Sitaki kabisa kabisa kuwa nao karibu. Hata nikiwa nasafiri kwenda Europe na kurudi Tanzania sipitii Airport yao. Niko radhi kwenda Ethiopia kuliko Kenya. Na wala ndege zao sipendi. Nawaona wanafiki tu.

Nina uhakika iko siku mungu atawalipiza kisasi tu. Wata haha sana. Kwa matendo yao mabaya kwa ndugu zetu na unafiki wao. Waendelee tu kujifanya kuwa wao ni wazungu iko siku watayaona ya wazungu.

Kuhusu mwalimu wako sijui kama anaijua EAC kwa undani wake. Ningekushauri jiongeze wewe mwenyewe!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa mambo ya nje, Dkt. Vincent Biruta amesema, Tanzania iliomba kutokushiriki mkutano wa EAC uliofanyika hivi karibuni. Burundi wao walisema hawatashiriki kwakuwa wana uchaguzi.


Professor wa Jalalani amezidi kwa uongo. Halafu ni mtoto wa mchungaji.....!!
 
Back
Top Bottom