Profesa Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!

Profesa Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!

Najua hili suala la aliyekuwa DC wa Hai liko Mahakamani lakini kama ni kweli kwamba accounts zake zilikutwa na billion 3 ni wazi mtu aliyemo au atakayeingia ndani ya serikali lazima atabadilika na kufanana na aliowakuta huko.
Hivi kama DC na kijana mdogo anaweza kuhodhi 3b kwa miaka minne tu, waziri anaweza kulimbikiza kiasi gani?

Kitu ambacho sikujua ni kuwa idadi ya watz wanaoabudu pesa (material possessions) nilifikiri ni wachache lakini kumbe hata tuliowategemea kwa uadilifu wao au umri ni kwa sababu ya maigizo tu, wakishaona ving'aavyo wote wanaufyata.

Umuhiumu wa katiba ni mkubwa hata zaidi ya wakati ule lakini ninachogundua wanaotaka katiba mpya ni wananchi walio wengi lakini wako nje ya serikali. Hivyo tusitarajie mtu aliyemo ndani huko kunga mkono hii movement, hapa ni wananchi wenyewe kusema basi
 
Tatizo kubwa lipi. Kifo is inevitable ingekuwa tunaishi milele hapo sawa. Did he expected him to live forever? au alitegemea kwa kuwa preso ametwaliwa na Muumba tuanze kuvurugana na kuchinjana? prof wa ajabu sana huyu
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huyu ni mtu aliyeokwota jalalan ss anavimbiwa kodi zetu huyo ni mmoja wapo wa kundi dogo ndani ya ccm wanaofaidi mema ya nchi lazima asifu na kuabudu lkn katiba mpya tunahitaji watanzania wengi na tutaipigania
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
katiba ya sasa iko poa sana.
kuna genge la wahuni wachache wenye uchu wa madaraka ndio ulimi umewatoka, wanasubiria dodo chini ya mkwaju.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa muheshimiwa Mungu,kama hii katiba ilituvusha salama baada ya kufiwa na mungu wetu kwa nini tutafute nyingine mupya
 
Huyu ni mtu aliyeokwota jalalan ss anavimbiwa kodi zetu huyo ni mmoja wapo wa kundi dogo ndani ya ccm wanaofaidi mema ya nchi lazima asifu na kuabudu lkn katiba mpya tunahitaji watanzania wengi na tutaipigania
Ndo Kama yale ya Rais kutaka kuongea na vijana kutaka kusikia kero zao mwisho akabaki kusikia hotuba za mawaziri!!![emoji28][emoji28]
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
profesa macho anautetea ugali, aseme katiba haifai atumbuliwe? wee thubutu, ni mwendo wa unaaaaa tu.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
watu wanafiki ni watu wa kuogopa kama ukoma!!
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mgogo hasafiki,no mchafu toka anapozaliwa
 
Kwa hiyo imekuwa madhubuti sababu ya kifo ama ilikuwa madhubuti tokea zamani? Ile rasimu ya warioba ana maoni gani?
 
Tatizo kubwa lipi. Kifo is inevitable ingekuwa tunaishi milele hapo sawa. Did he expected him to live forever? au alitegemea kwa kuwa preso ametwaliwa na Muumba tuanze kuvurugana na kuchinjana? prof wa ajabu sana huyu
Tatizo siyo kifo kweli! Lakini kumbuka aliyefariki ni Rais,tena ndiyo yuko Madarakani,Kama kungetokea wale wavamizi wa Mirathi ya Mama unazani saa hizi hali ingekuwaje!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom