Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii misukule ya magu hii ndio inatufikisha hapa sijui mizee hii kama itaiona pepo.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ooooh kumbe mgogo jinga sana hilo zeė.Mpaka alikuwa anatoa ile mimate yake myeupe, mnafiq sana huyu mgogo
Kweli kabisa zee zima lunafiki na zandikiMzandiki na mnafiki namba moja
View attachment 1838966
Hapa Prof.Kabudi akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba. Akisukuma ajenga za kudai katiba mpya na serikali 3.
View attachment 1838967
Hapa akiwa waziri wa sheria.
My Take
Hawa jamaa wanatupa taabu sana kuirudisha nchi kwenye reli
Mzandiki na mnafiki namba moja
Anza na wagogo wenzake wana hali gani ukilinganisha na makabila mengine?View attachment 1838966
Hapa Prof.Kabudi akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba. Akisukuma ajenga za kudai katiba mpya na serikali 3.
View attachment 1838967
Hapa akiwa waziri wa sheria.
My Take
Hawa jamaa wanatupa taabu sana kuirudisha nchi kwenye reli
Babu mzima kaokotwa jalalaniMnachoshangaa nini sasa wakati yeye mwenyewe anakubali kuwa aliokotwa jalalani,na wote tunajua jalalani kunapatikana kitu gani.
Angalau wameweka la kuanzia hata mkiwapiga 10 lakini wamewaanza. Mungu mkubwaView attachment 1838966
Hapa Prof.Kabudi akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba. Akisukuma ajenga za kudai katiba mpya na serikali 3.
View attachment 1838967
Hapa akiwa waziri wa sheria.
My Take
Hawa jamaa wanatupa taabu sana kuirudisha nchi kwenye reli
Hivyo ulitegemea aendelee kudai katiba mpya akiwa kiongozi katika serikali?View attachment 1838966
Hapa Prof.Kabudi akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba. Akisukuma ajenga za kudai katiba mpya na serikali 3.
View attachment 1838967
Hapa akiwa waziri wa sheria.
My Take
Hawa jamaa wanatupa taabu sana kuirudisha nchi kwenye reli
Ukiwa ndani ya chama huwezi kufikiri sawa sawa hamwoni katibu mkuu mstafishwa alivyokuwa nje ya chama na alivyokuwa ndani ya chama, na wakienda chama kingine hutamini wanavyo ongea, watz kuna shida kidogo hapo nadhani.View attachment 1838966
Hapa Prof.Kabudi akiwa mjumbe wa Tume ya Katiba. Akisukuma ajenga za kudai katiba mpya na serikali 3.
View attachment 1838967
Hapa akiwa waziri wa sheria.
My Take
Hawa jamaa wanatupa taabu sana kuirudisha nchi kwenye reli
Angetafuta namna nzuri ya kueleza badala ya kuikataa kabisa katiba maana hata Rais hajasema katiba mpya siyo agenda bali muda ni bado kwakua haikuwa planned for kwa muda huu baada ya mara ya kwanza kuachwaHivyo ulitegemea aendelee kudai katiba mpya akiwa kiongozi katika serikali?
Umeshawahi kusikia waziri anauliza swali bungeni? Unafikiri ni kweli mawaziri hawana maswali kwa serikali?
Kabudi yuko sahihi tu, hayuko kwenye nafasi ya kudai katiba