johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Njombe kuna biashara gani ukiondoa biashara za " mwakipande" pale Makambako walikojazana wakinga na baba yao Jah people?unadhani factors za Bagamoyo ni sawa na za huko? Bagamoyo iko Kilomita ngapi toka Dsm? Njombe tu yenyewe haijakua pamoja na kua na Business nyingi then utuambie hiyo cheto iwe kama miji ya China eti kwa kujengwa na mtu mmoja tu kwa mamlaka.Kukua kwa mji kuna hitaji mambo mengi sana.Miji ya china imekuzwa na Private Sector tofauti na tunavyoaminishwa kua China Goverment ni kila kitu.private-Western Entities zimeikuza china.
Oh my beautiful tz the then once learned ps are now total lunatics cum boot lickers. Stupid! Do we have any dependable free thinking tanxanian left???Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Fa fe fi fo .... inProfesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Hoja yako wewe tuendeleze makosa ya akina Sumaye?Hoja ni kweli kwamba kuna tija kwa taifa kuwekeza huko?Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!
Kila mtu anauruhusiwa kuishi,
Mbona vitu vikifanyika Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,mnataka Bongo nzima ione kawaida,ila vikifanyika kwingine inakuwa zogo,
Kipindi flani enzi za Mkapa na Kikwete,watu walilalamika kwamba wizara ya fedha imejaa wachaga na wapare,Sumaye akawajibu kwamba hao ndio wanaojua mahesabu.
Matumizi mabaya ya madaraka basi na si vinginevyo leo BUTIAMA ingekuwa jiji,ZANZIBAR ingekuwa makao makuu ya nchi ya Jamhuri ya Tanzania,Lupaso ingekuwa jiji,Msoga ingekuwa Mkoa hapo ni kwa marais je mawaziri wakuu ingekuwaje?Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!
Kila mtu anauruhusiwa kuishi,
Mbona vitu vikifanyika Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,mnataka Bongo nzima ione kawaida,ila vikifanyika kwingine inakuwa zogo,
Kipindi flani enzi za Mkapa na Kikwete,watu walilalamika kwamba wizara ya fedha imejaa wachaga na wapare,Sumaye akawajibu kwamba hao ndio wanaojua mahesabu,
Aliona mbaliKaburu botha was right.
Ukabila, ukanda,kuiba pesa,
Hakukosea alishawasoma akili zao zinafafana wote
Yeye anawasemea wataanza kama nani? Amewafanyia lini mahojiano kujua mawazo yao kuwa kila mtanzania anaipenda chato?Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
Hongera sana kwa comment yenye mashikoTanzania aliyoitaja Kabudi ni ipii..!? Au tamaa za mtu mmoja zimekua za Taifa..!!?
How did he become a professor anyway!!?
Kweli wewe aliyekuchagulia hiyo ID aliyasoma mawazo yakoCHATO KWA MAENDELEO YA NCHI[emoji847][emoji847][emoji847]
Sipati picha hapo mvua ya mawe ilivyokuwa inanyeshaProfessor wa majalalani na ubora wake wa kujipendekeza.
Kwahiyo ccm mmekubali tayari utawala wa majimbo?Mbona Arusha na Moshi mnapambana muifikie Carfonia?!
Acheni wivu wa kishamba bhana!
Chatou International AirportChato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo
Hahahahaha ni ajabu.Sipati picha hapo mvua ya mawe ilivyokuwa inanyesha
Kwa wivu wenu mlizuia mradi wa ujenzi wa bandari ya bagamoyoMbona Bagamoyo inazidi kukua?!!
Low mindedHapa chadema lazima waone wivu!
Kosa lipi hapo limetendwa!weka data,tutumie data kusema Kuna kosa lipi hapo,je miradi ingejengwa mtambaswala Lindi kungekuwa na kosa?Hoja yako wewe tuendeleze makosa ya akina Sumaye?Hoja ni kweli kwamba kuna tija kwa taifa kuwekeza huko?
He become a professor because of elimu ya kununua[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ( leo na mimi nimekomenti kiingereza jf raha saana)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania aliyoitaja Kabudi ni ipii..!? Au tamaa za mtu mmoja zimekua za Taifa..!!?
How did he become a professor anyway!!?
Huyu jamaa tangu atolewe majalalani na babake basi ni shidah tupu..!!Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.
Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.
Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.
Chanzo: Upendo tv
Maendeleo hayana vyama!
@pilipili--mbuziKama majiji ya Dar es Salaam na Mwanza tu yameshindwa kuifikia miji midogo ya China kama Macau na Chongqing,Leo hii mji mdogo wa Chato utaweza(ndani ya miaka hii 4 iliyobakia ya mheshimiwa akiwa madarakani)?
Hizi ni ngano na vigano.