Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

Profesa Kabudi: Tanzania inatamani sana Chato ifanane na majiji makubwa ya China ambayo awali yalikuwa ni vijiji vya wavuvi!

unadhani factors za Bagamoyo ni sawa na za huko? Bagamoyo iko Kilomita ngapi toka Dsm? Njombe tu yenyewe haijakua pamoja na kua na Business nyingi then utuambie hiyo cheto iwe kama miji ya China eti kwa kujengwa na mtu mmoja tu kwa mamlaka.Kukua kwa mji kuna hitaji mambo mengi sana.Miji ya china imekuzwa na Private Sector tofauti na tunavyoaminishwa kua China Goverment ni kila kitu.private-Western Entities zimeikuza china.
Njombe kuna biashara gani ukiondoa biashara za " mwakipande" pale Makambako walikojazana wakinga na baba yao Jah people?

Geita katika ujumla wake itagrow hata kama wewe hupendi.

Unataka kulinganisha Chaugingi na Chato?

Bure kabisa!
 
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.

Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.

Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.

Chanzo: Upendo tv

Maendeleo hayana vyama!
Oh my beautiful tz the then once learned ps are now total lunatics cum boot lickers. Stupid! Do we have any dependable free thinking tanxanian left???
 
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.

Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.

Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.

Chanzo: Upendo tv

Maendeleo hayana vyama!
Fa fe fi fo .... in
 
Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!
Kila mtu anauruhusiwa kuishi,
Mbona vitu vikifanyika Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,mnataka Bongo nzima ione kawaida,ila vikifanyika kwingine inakuwa zogo,
Kipindi flani enzi za Mkapa na Kikwete,watu walilalamika kwamba wizara ya fedha imejaa wachaga na wapare,Sumaye akawajibu kwamba hao ndio wanaojua mahesabu.
Hoja yako wewe tuendeleze makosa ya akina Sumaye?Hoja ni kweli kwamba kuna tija kwa taifa kuwekeza huko?
 
Tamaaa za mtu mmoja kivipi?hii Chato si ipo Bongo hapa hapa!
Kila mtu anauruhusiwa kuishi,
Mbona vitu vikifanyika Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,mnataka Bongo nzima ione kawaida,ila vikifanyika kwingine inakuwa zogo,
Kipindi flani enzi za Mkapa na Kikwete,watu walilalamika kwamba wizara ya fedha imejaa wachaga na wapare,Sumaye akawajibu kwamba hao ndio wanaojua mahesabu,
Matumizi mabaya ya madaraka basi na si vinginevyo leo BUTIAMA ingekuwa jiji,ZANZIBAR ingekuwa makao makuu ya nchi ya Jamhuri ya Tanzania,Lupaso ingekuwa jiji,Msoga ingekuwa Mkoa hapo ni kwa marais je mawaziri wakuu ingekuwaje?
 
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.

Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.

Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.

Chanzo: Upendo tv

Maendeleo hayana vyama!
Yeye anawasemea wataanza kama nani? Amewafanyia lini mahojiano kujua mawazo yao kuwa kila mtanzania anaipenda chato?
 
Chato inakitu gani cha kuifanya iwe jiji, labda kama kwa kuchezea fedha za walipa kodi kwa kujenga majengo yasiyo na matumizi,kuofoce business zisizo wezekana ama kuhamishia makao makuu ya nchi kwa miaka minne ijayo.Baada 2025 habari za chato zitaisha labda wafoce namba 1 atoke hapo hapo
Chatou International Airport
 
Hoja yako wewe tuendeleze makosa ya akina Sumaye?Hoja ni kweli kwamba kuna tija kwa taifa kuwekeza huko?
Kosa lipi hapo limetendwa!weka data,tutumie data kusema Kuna kosa lipi hapo,je miradi ingejengwa mtambaswala Lindi kungekuwa na kosa?
Au je ingejengwa Kyelwa Kagera je?au ijengwe Manyara Kiteto!?wapi ikijengwa kila mwananchi ataridhika na kusema hapa Hili lina maslahi kwa nchi nzima,
Wapo watu wanasema SGR,Madege ya ATCL hata bwawa la Nyerere la kufua umeme havina tija,ni matumizi mabaya ya pesa,inategemea unaangalia kutokea wapi.
Serikali hii inamatumizi mabaya ya pesa,na upendeleo,ukabila,sikatai.
Swali je,ajenge wapi ambapo wananchi hawatapiga kelele,afanye mradi upi ambao kila mbongo ataridhika?Hapa Ni Nyerere tu aliweza,
Viongozi wote waliotawala nchi hii kwa namna yoyote ile walipendelea maeneo wanayotoka,na hili halitaisha leo,hii ni dalili ya tatizo/Ugonjwa,tusishambulie dalili,tupambane na Ugonjwa,
Hata huko chato kila mtu anaweza kwenda kuwekeza
 
Tanzania aliyoitaja Kabudi ni ipii..!? Au tamaa za mtu mmoja zimekua za Taifa..!!?

How did he become a professor anyway!!?
He become a professor because of elimu ya kununua[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ( leo na mimi nimekomenti kiingereza jf raha saana)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Profesa Kabudi amemwambia Waziri wa Mambo ya Nje wa China kwamba anashukuru kwa ziara aliyoifanya Mwaloni leo asubuhi na Tanzania inatamani Chato ije kuwa kama miji mikubwa ya China ambayo awali ilikuwa ni vijiji vya wavuvi kama ilivyo chato.

Profesa Kabudi amesema kwa mahusiano mema ya Tanzania na China hilo linawezekana kabisa.

Profesa Kabudi na waziri Wang Yi walikuwa wanaongea na waandishi wa habari leo hii Chato mkoani Geita.

Chanzo: Upendo tv

Maendeleo hayana vyama!
Huyu jamaa tangu atolewe majalalani na babake basi ni shidah tupu..!!
 
Kama majiji ya Dar es Salaam na Mwanza tu yameshindwa kuifikia miji midogo ya China kama Macau na Chongqing,Leo hii mji mdogo wa Chato utaweza(ndani ya miaka hii 4 iliyobakia ya mheshimiwa akiwa madarakani)?
Hizi ni ngano na vigano.
@pilipili--mbuzi
Macau na Chongqing sio miji midogo, hapo umetaja miji yenye uzito kama Dallas au Doha hivi hiyo miji umetaja ni mizuri mno
 
Back
Top Bottom