Profesa Kabudi: Tanzania kupokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje

Profesa Kabudi: Tanzania kupokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje

Prof Kabudi amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.

Ziara hiyo itakuwa na manufaa makubwa kwa nchi yetu ambayo ina mkataba wa urafiki na China uliosainiwa na Mwalimu Nyerere miaka 55 iliyopita, amesema Prof Kabudi.

Source Eatv habari!

Maendeleo hayana vyama!
Hata kipindi cha kikwete walikuja na wakafuatiwa na wamarekani wakiongozwa na Obama.

Nothing went on.
Ccm ni ile ile.
 
Profesa Kabudi amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa kutoka China ukiongozwa na Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo.

Ziara hiyo itakuwa na manufaa makubwa kwa nchi yetu ambayo ina mkataba wa urafiki na China uliosainiwa na Mwalimu Nyerere miaka 55 iliyopita, amesema Prof Kabudi.

Chanzo: Eatv habari!

Maendeleo hayana vyama!
Atakuwa anakuja kuchukua misaada. We are a donor country.
 
BUSINESS OPINION
By Mizzima
18 August 2020

CHINA MONITOR: Zambia risks losing sovereignty to Beijing due to debt-trap diplomacy

As part of Mizzima’s news and analysis, we are looking into the power-politics of Myanmar’s neighbours

Resistance is growing to China’s presence in the African country of Zambia as people are getting suspicious about the economic coercion tactics being used by Beijing, which may lead to the African country becoming the first Chinese colony.
The heightened concerns come as Beijing continues to try to expand its infrastructure and influence under the Belt and Road Initiative (BRI), a worldwide venture that includes Myanmar as a crucial component.


The fear of Chinese invasion has appeared to be becoming true due to the high possibility of Chinese taking over Zambia’s airport, electricity company, national broadcasting network and major road projects owing to failure to repay loans worth US$8.7 billion. The risk is not limited to economic factors. Beijing has allegedly obtained unrestrained control over the resources, and allegedly carried out rampant infiltration of Chinese nationals in Zambia and tried to recruit citizens in the security forces of Zambia.
No country in today’s modern world has made such a subversive attempt to encroach upon the sovereignty of other nation.
The biggest takeaway of the China’s debt-trap diplomacy in Zambia is taking full control of information and broadcasting in order to drive its propaganda. Under the pretext to digitise the broadcast infrastructure, a joint venture was created in 2017, named TopStar Communications Limited, in which Chinese firm Start Times owns a majority 60 percent while the ZNBC, a Zambian state broadcaster, owns just 40 percent.
Power utility Zambia Electricity Supply Corporation (ZESCO) is set to fall into the hands of the Chinese thanks to Zambia’s default on the loan repayment. African Confidential, a London based political newsletter that is known for its impartial, accurate and investigative reports, has revealed that the ZNBC was already being run by the Chinese and disclosed that ZESCO was also almost taken over by a Chinese company. “The long-term outcome could be effective Chinese ownership of the commanding heights of the economy and potentially the biggest loss of national sovereignty since independence,” reads an excerpt from the African Confidential article.
The International Monetary Fund (IMF) had already warned that Chinese aid could lead to a problematic increase in debt, potentially limiting other spending as the debt service rises. The Brookings Institution has estimated that loans from China accounted for 65.8 percent of Zambia’s external debt. It raises concerns about national sovereignty and Chinese ownership of key components of Zambia’s infrastructure. There have been concrete reports about China planning to take over the Kenneth Kaunda International Airport should the Zambia Government fail to pay back its debt in time.
The economic aid by Beijing led to an increase in the number of Chinese businessmen and workers immigrating to Zambia in the past few years. The frequent instances of exploitation and discrimination against Zambians by Chinese personnel have led to a countrywide uproar. The interference of the Chinese in the internal security matters of Zambia has scared people. Two years ago, eight Chinese nationals were sworn in as police officials, who shockingly arrested Zambians in Zambia. Also, Zambian security agencies found Chinese secretly giving military training to some Zambians using weapons that were imported from China. All this is giving the impression that Zambia is becoming the property of China.


Graph: Sharp rise in Chinese loans to Zambia post BRI launch
china-monitor-1.jpg

Source: China Africa Research Initiative at Johns Hopkins University’s
Graph: Proportion of Chinese loans to Zambia (sector wise)
china-monitor-2.jpg

Zambia is one of the poor countries that are on the verge of falling into the debt-trap designed by China under their BRI plan. The overall government debt was 59 percent of Zambia’s gross domestic product in 2018, which increased from 21 percent in 2011. According to government statistics, Zambia owed 28 percent of its sovereign debt to China. Some believe the figure must be higher than that since the terms of Chinese loans are not transparent and many details are unreported.
Former Minister of Information and Broadcasting of Zambia Chishimba Kambwili expressed concerns over increasing Chinese funding saying he was "very critical about the government's borrowing, especially from China. Chinese loans often don't even go to Zambian accounts. They choose the contractor from China, the contractor is paid in China, but it reflects in our books as a loan from China.”
Moreover, people are angry over the poor quality of infrastructure built by Chinese companies under the BRI. A huge part of the Lusaka-Chirundu road, which was built by China Henan in 2011, was swept away in the first rains. Similarly, citizens of Zambia vented their anger after two stadiums that were built by China in the capital Lusaka and in Ndola were not just useless but expensive also.
Calling these projects a “white elephant”, people protested on the streets against Chinese companies and initiated a campaign slogan “Say No To China”. James Lukuku, leader of Zambia’s Republican Progressive Party, said “People have started realizing that China must be stopped.”








Ni swala la muda tu mkuu usemayo kutimia.
 
Kazi ya wapinzani Kwa sasa, ni kuomba kusiwepo hata wageni wa kuja nchini kwetu,

Na hata wageni wakitokea, basi watajidai kufahamu kila kilichowaleta wageni hao, mara hoo, sijui bandari ya Bwagamoyo, sjiunini....
 
Tanzania hakuna corona, kwa sababu 'mungu' wetu anatupenda sana.

China wameidhibiti corona kwa vile wamesimamia na kufuata taratibu zote za kitaalam kudhibiti maenezi ya ugonjwa huo.

Sijui kama na wao ni 'Mungu' wao ndiye aliyewaelekeza kufuata taratibu hizo na kufanikiwa?

Ingependeza sana kama waandishi wetu wa habari wangemuuliza mgeni wetu kuhusu hilo.

Sasa basi, wanachosubiri kwa hamu waTanzania ni kumwona mgeni wetu na msafara wake wakitutia matumaini juu ya uwezo wa 'mungu' wetu.

Hawa watu watachanganyika nasi wakiwa hapa na wala hawataparamia ma BARAKOA?

Kabuti Mlamaganda, usiwafiche wageni wetu, ikiwezekana walete hadi huku kwetu ndani ya DALADALA zetu.

Karibu sana wageni wetu, ndani ya nchi hii yenye 'mungu' wa kipekee kabisa.
 
Tanzania hakuna corona, kwa sababu 'mungu' wetu anatupenda sana.

China wameidhibiti corona kwa vile wamesimamia na kufuata taratibu zote za kitaalam kudhibiti maenezi ya ugonjwa huo.

Sijui kama na wao ni 'Mungu' wao ndiye aliyewaelekeza kufuata taratibu hizo na kufanikiwa?

Ingependeza sana kama waandishi wetu wa habari wangemuuliza mgeni wetu kuhusu hilo.

Sasa basi, wanachosubiri kwa hamu waTanzania ni kumwona mgeni wetu na msafara wake wakitutia matumaini juu ya uwezo wa 'mungu' wetu.

Hawa watu watachanganyika nasi wakiwa hapa na wala hawataparamia ma BARAKOA?

Kabuti Mlamaganda, usiwafiche wageni wetu, ikiwezekana walete hadi huku kwetu ndani ya DALADALA zetu.

Karibu sana wageni wetu, ndani ya nchi hii yenye 'mungu' wa kipekee kabisa.
Mikusanyiko imepigwa ban kiaina maana covid inazidi kuwang'oa tena wale wa meza kubwa
 
Akiondoka huyu anakuja Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Burundi.
Ngoja nikwambie kitu.
Usistaajabu sana ukimwona mwakilishi wa Biden kabla ya June; na huyo Kabuti kama bado atakuwa ni yeye utasikia vigelegele vyake vingi na majigambo mengi tu!
Hawa watu sasa hawana mwelekeo tena.
 
SGR on the move.

Mchina Domo la Mamba.

Ukishakosana na Mzungu, unakuwa huna alternative yeye anakuja na terms zake mezani.

Kwisha kazi. Hakuna ujanja tena
 

Attachments

  • 20201122_161633.jpg
    20201122_161633.jpg
    60.3 KB · Views: 1
Anaipenda Tanzania kwa waziri wa China kuja? Alikuja rais wa China, mbon hakuna lolote la maana?
Mataga wanafikili tumeshasahau,
Kama alikuja Raisi wa China na hakuna kilichobadilia hadi leo,itakuwa kwa waziri wa Mambo ya kigeni?
 
Back
Top Bottom