Profesa Kabudi, wananchi wanahitaji katiba mpya zaidi ya unavyodhania. Unajiabisha kudai ipo madhubuti kulinda mipasuko ya kisiasa

Profesa Kabudi, wananchi wanahitaji katiba mpya zaidi ya unavyodhania. Unajiabisha kudai ipo madhubuti kulinda mipasuko ya kisiasa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.

Hivi kama tungekuwa na katiba inayohitaji uchaguzi ufanyike baada ya Rais kufariki kungetokea maasi? Watu wasingefuata katiba inavyotaka?

Ok achana na hilo Profesa Kabudi hajui kuna wananchi wa kawaida ambao wanaporwa haki zao sababu katiba ya sasa hairuhusu wao kudai haki zao. Mfano katiba ya sasa hairuhusu raia wa kawaida kudai haki za ndugu zao wanapouwawa na watu wanaojulikana au wasiojulikana wasiposhitakiwa na Jamhuri.

Profesa Kabudi hajui kuwa wananchi wa kawaida wanatakiwa kuwa na fursa ya kuwafuta kazi wabunge wazembe na wasiofaa kabla ya muhula wa miaka mitano kuisha?

Hii ni baadhi ya mifano tu ambayo Profesa Kabudi anatakiwa atambue kuwa hitaji ka Katiba mpya sio kwa ajiri ya kulinda maslahi ya taifa pale tunapopata misukosuko. Bali ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa.

Pia soma > Prof Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!

Chagu wa Malunde at Segese Khm.
 
Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Uko sahihi Mkuu. Tatizo la viongozi wa serikali ni kudhani kwa vile wamekabidhiwa dhamana ya kuongoza basi wana akili na haki kuliko wananchi wote.
 
Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Kama ni hivi unafikili Kuna mtu hapa?

20210518_105351.jpg
 
Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Tanzania na serikali yake kumejaa wasaliti wa Taifa.

Nani hajui umuhimu wa katiba madhubuti ya kusimamia uwajibikaji?
 
Nakwambia baada ya ........ sasa bongo zao zimeanza kujaa upya.Washukuru Mungu bila kutoa uamuzi huu wengine wangeshaanza kuokota makopo maana bongo zao zingeshaingia west na south kwenye axis za y na x.
Mungu ameokoa Taifa kama mwendazake angeendelea kuwepo madarakani mpaka 2025 hakika vijana wengi wangekuwa vichaa maana akina chagu wa malunde. Sijui kama wakikua wakitumia vichwa
 
Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.

Hivi kama tungekuwa na katiba inayohitaji uchaguzi ufanyike baada ya Rais kufariki kungetokea maasi? Watu wasingefuata katiba inavyotaka?

Ok achana na hilo Profesa Kabudi hajui kuna wananchi wa kawaida ambao wanaporwa haki zao sababu katiba ya sasa hairuhusu wao kudai haki zao. Mfano katiba ya sasa hairuhusu raia wa kawaida kudai haki za ndugu zao wanapouwawa na watu wanaojulikana au wasiojulikana wasiposhitakiwa na Jamhuri.

Profesa Kabudi hajui kuwa wananchi wa kawaida wanatakiwa kuwa na fursa ya kuwafuta kazi wabunge wazembe na wasiofaa kabla ya muhula wa miaka mitano kuisha?

Hii ni baadhi ya mifano tu ambayo Profesa Kabudi anatakiwa atambue kuwa hitaji ka Katiba mpya sio kwa ajiri ya kulinda maslahi ya taifa pale tunapopata misukosuko. Bali ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa.

Pia soma > Prof Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!

Chagu wa Malunde at Segese Khm.
Unaijua kitu inaitwa "mobilised grassroots" ??

Ni rahisi tu, wewe organize hilo kundi mtimbe barabarani kudai katiba mpya.

Maana naona kila anaeongea katiba mpya anaongelea mambo ya uchaguzi.

Inaonekana katiba iliyopo ni mbovu sana eneo hilo
 
Hakuna mwananchi wa kawaida anahitaji hilo hitaji la kisiasa, na hata hayo mapungufu yanayodaiwa bado ni mahitaji na vipengele vinavyogusa siasa pekee
 
Back
Top Bottom