Kama ni hivi unafikili Kuna mtu hapa?
Hakuna mwananchi wa kawaida anahitaji hilo hitaji la kisiasa, na hata hayo mapungufu yanayodaiwa bado ni mahitaji na vipengele vinavyogusa siasa pekee
Hi kwamfano tunaingia kwenye mambo ya kufuta wabunge na njaa hii ya watanzania si tuatishia mahakamani kila leo au kwenye chaguzi ndogo kisa tu hiyo nafasi inayosaidia watu kuondoka kwenye umasikini?Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Hivi kama tungekuwa na katiba inayohitaji uchaguzi ufanyike baada ya Rais kufariki kungetokea maasi? Watu wasingefuata katiba inavyotaka?..
Unaelewa unachangia juu ya suala gani?Hi kwamfano tunaingia kwenye mambo ya kufuta wabunge na njaa hii ya watanzania si tuatishia mahakamani kila leo au kwenye chaguzi ndogo kisa tu hiyo nafasi inayosaidia watu kuondoka kwenye umasikini?
Ebu tujenge uchumi kwanza hayo mengine ni sababu ya umasikini na utegemezi wa wati wengi...Siasa imejaa kila kona na usanii mwingi, watu hawataki kufanya kazi wapate haki ya vipato vyao
Awa ndo tutaanza nao kuwapiga maombi watenguke viuno ila wasife ili adabu iwakae sawa ,Ni aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha..
Hapa nakubaliana na wewe ninachoshindwa kujua ni hii katiba ya sasa ime justify wapi hao wa ma VX wawapangie wakulima bei? Kama wameshindwa sasa kuishi hii katiba watawezaje kuiishi hiyo mpya?Hayo makundi mengine hayana uwezo wa kudai hata mambo ya msingi kwenye sekta zao. Mfano wafanyakazi na wakulima. Hapa nchini mkulima analima mazao yake kwa gharama kubwa, lakini anapangiwa bei na wajanja wanaoshinda maofisini hapa Dar, na kuzunguka na maVX. Wafanyakazi ndio hao hata haifahamiki jumuiya ya wafanyakazi ipo kwa ajili gani.
Hapa nakubaliana na wewe ninachoshindwa kujua ni hii katiba ya sasa ime justify wapi hao wa ma VX wawapangie wakulima bei? Kama wameshindwa sasa kuishi hii katiba watawezaje kuiishi hiyo mpya?
Nadhani tatizo ni zaidi ya katiba yenyewe...Ipo kwenye maadili na attitudes zetu
Mimi kusema ukweli am alright iwapo tu haya mambo ya watu wachache kutumia nguvu ya wengi kujineemesha yana kwisha...I hate watu kuishi kama miungu watu ama kuwafanya wenzao servernts wao.Hilo la attitude ni moja,lakini katiba hii imetoa nguvu kwa wanasiasa kuwa ndio waamua mambo, na kuset miongozo. Ni rahisi viongozi kufanya kosa lolote na kusiwe na hatua, lakini mkulima au mfanyakazi akidai haki zake za maandamano, viongozi wanatuma vyombo vya dola kuwadhuru. Matokeo yake kutokana na katiba mbovu, mwananchi amekuwa mateka wa kiongozi.
Kwa katiba hii hiyo hali haondoki.Mimi kusema ukweli am alright iwapo tu haya mambo ya watu wachache kutumia nguvu ya wengi kujineemesha yana kwisha...I hate watu kuishi kama miungu watu ama kuwafanya wenzao servernts wao.
Ogopa sana kitu kilichookotwa jalalaniNi aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Hivi kama tungekuwa na katiba inayohitaji uchaguzi ufanyike baada ya Rais kufariki kungetokea maasi? Watu wasingefuata katiba inavyotaka?
Ok achana na hilo Profesa Kabudi hajui kuna wananchi wa kawaida ambao wanaporwa haki zao sababu katiba ya sasa hairuhusu wao kudai haki zao. Mfano katiba ya sasa hairuhusu raia wa kawaida kudai haki za ndugu zao wanapouwawa na watu wanaojulikana au wasiojulikana wasiposhitakiwa na Jamhuri.
Profesa Kabudi hajui kuwa wananchi wa kawaida wanatakiwa kuwa na fursa ya kuwafuta kazi wabunge wazembe na wasiofaa kabla ya muhula wa miaka mitano kuisha?
Hii ni baadhi ya mifano tu ambayo Profesa Kabudi anatakiwa atambue kuwa hitaji ka Katiba mpya sio kwa ajiri ya kulinda maslahi ya taifa pale tunapopata misukosuko. Bali ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa.
Pia soma > Prof Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!
Chagu wa Malunde at Segese Khm.
Chokoraa huyo
Huyo ni msaka madarakaNi aibu kubwa kwa mawanasheria nguli tena Profesa kukomaa bila hata aibu eti hii katiba ni madhubuti kisa tu baada ya msiba wa Hayati JPM hakukutokea rabsha.
Hivi kama tungekuwa na katiba inayohitaji uchaguzi ufanyike baada ya Rais kufariki kungetokea maasi? Watu wasingefuata katiba inavyotaka?
Ok achana na hilo Profesa Kabudi hajui kuna wananchi wa kawaida ambao wanaporwa haki zao sababu katiba ya sasa hairuhusu wao kudai haki zao. Mfano katiba ya sasa hairuhusu raia wa kawaida kudai haki za ndugu zao wanapouwawa na watu wanaojulikana au wasiojulikana wasiposhitakiwa na Jamhuri.
Profesa Kabudi hajui kuwa wananchi wa kawaida wanatakiwa kuwa na fursa ya kuwafuta kazi wabunge wazembe na wasiofaa kabla ya muhula wa miaka mitano kuisha?
Hii ni baadhi ya mifano tu ambayo Profesa Kabudi anatakiwa atambue kuwa hitaji ka Katiba mpya sio kwa ajiri ya kulinda maslahi ya taifa pale tunapopata misukosuko. Bali ni kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa.
Pia soma > Prof Kabudi: Katiba tuliyonayo ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata matatizo!
Chagu wa Malunde at Segese Khm.
Kweli aseeWatu kama hawa hupata vifo vya ajabuajabu.
Halafu humusikii anayepata uchungu
Insane?Kuna fundi karekebisha dish nini?Hapa kijijini kwetu channels zinapatikana muruaaa!πππ
Use brain to think young man.Nakwambia baada ya ........ sasa bongo zao zimeanza kujaa upya.Washukuru Mungu bila kutoa uamuzi huu wengine wangeshaanza kuokota makopo maana bongo zao zingeshaingia west na south kwenye axis za y na x.
Mkuu una uhakika kuwa katiba ni hitaji la kisiasa pekee?Hakuna mwananchi wa kawaida anahitaji hilo hitaji la kisiasa, na hata hayo mapungufu yanayodaiwa bado ni mahitaji na vipengele vinavyogusa siasa pekee