dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... na ndio maana anagombea Chuo Kikuu kilipo.Arudi akafundishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... na ndio maana anagombea Chuo Kikuu kilipo.Arudi akafundishe
HAKUNA mtu anayeonewa Kama mwalimu....yaani abaki na chaki TU...siku akiamua kuingia "field" kufundisha anaambiwa kwake NI nyuma ya UBAO...Arudi akafundishe
Ataliwa kabla hata hajaanza mchakatoHuyu Ubungo asahau.
Anataka nafasi ya juu zaidi, akishapata uwaziri, atataka ya juu zaidi. Kama mwanasiasa, nia yake ni kushika nafasi ya uwaziri kisha baadaye Urais.
Majimbo mengi tu...na watanzania HAWANA UBAGUZI popote tu unaweza kugombea.Yaani kwa DK mwigulu alikuwa anaenda kujimaliza sijui nani alimdanganya akagombee jimboni kwa mwigulu nchemba
ID ya pili ya Prof Kitilla Mkumbo
Sijaona kaliba ya yeyote huko CDM kumkabili....Ataliwa kabla hata hajaanza mchakato
Anataka nafasi ya juu zaidi, akishapata uwaziri, atataka ya juu zaidi. Kama mwanasiasa, nia yake ni kushika nafasi ya uwaziri kisha baadaye Urais.
Vv
😂😂... na ndio maana anagombea Chuo Kikuu kilipo.
Kwa tafsiri yako basi sawa tunaiheshimu!!Hawa ndo watu mwenyekiti anasema hawariziki na vyeo alivowapa...akiuukosa ubunge asitegemee kupewa kingine
in magufuli voice, haiwezekani IGP ukagombee ubunge ntakukata mapema, tatizo la vijana hawaridhiki umepewa cheo Fulani tosheka nacho...haina tofaut na katibu mkuuKwa tafsiri yako basi sawa tunaiheshimu!!
Nguvu zake ziliisha pale Jabali alipoteuliwa tena!Yaani kwa DK mwigulu alikuwa anaenda kujimaliza sijui nani alimdanganya akagombee jimboni kwa mwigulu nchemba
Aiseeee!!!HAKUNA mtu anayeonewa Kama mwalimu....yaani abaki na chaki TU...siku akiamua kuingia "field" kufundisha anaambiwa kwake NI nyuma ya UBAO...
Naunga Mkono hoja ya mh.Magufuli kuendelea kuwatumia wasomi,madokta na maprofesa kwani TUMEIONA FAIDA YAKE KIPINDI HIKI...
Kipindi Cha nyuma,wanasiasa "maimuna" walikuwa wanawaogopa Sana WASOMI...
MAGUFULI anaitendea haki PhD.yake ya KUISOTEA na si zile za heshima.
Tuko kwenye zama za utapeli mbaya sana wa kisiasa. Upole na ujinga wa watanzania ndiyo unaleta yote haya. Mtu anapangiwa jimbo la kugombea, na hata kama hakubaliki dola inalazimisha ashinde. Bunge lijalo litakuwa linaimba nyimbo za kumsifu na kumtukuza mungu mtu.Ukimuuliza mipaka ya jimbo la Ubungo anaweza asiijue.
Mwaka huu tutaona wagombea wengi wasiojua lolote kuhusu Jimbo, wagombea wa kulazimishwa mmoja ni Profesa Kabudi mgogo wa Kilosa.
Alimmaliza kabisa mwigulu ni mzoefu wa siasa ndani ya CCMNguvu zake ziliisha pale Jabali alipoteuliwa tena!