Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo

Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo

[QUOrTE="Kambi ya Fisi, post: 35882274, member: 475260"]
Wapiga kura wa ubungo sio wasukuma eti.

Mfikishieni salam zetu
[/QUOTE]
Ni wachaga ee?!!
 
ccm bana wanagawana majimbo utafikiri ni mali yao... ngoja washangazwe mwaka huu.
Mkulu wao kajinyakulia tiketi yake ya kuingia Magogoni/Chamwino na hataki mwingine yeyote asigelee hiyo fursa.Ndiyo maana wameshapanga na matokeo mapema kabisa.
 
Back
Top Bottom