Profesa Makame Mbarawa anatushinda kumng'oa?

Ukimuona kobe juu ya mti kapandishwa. Tumng'oe aliyemweka
 
Hapa umeeleza jambo kubwa sana. Huu ni mkataba wa maisha.
 
Twende mdogo mdogo..

Wezi washughulikiwe kama wezi. Na uwekezaji wowote uzingatie manufaa kwa nchi.

Sasa kama umekiri hao ni wezi, mbona unakubali wao kuwa sehemu ya negotiation team kupata muwekezaji mpya.! Ridiculous!
Tuwe wapole sio tunalalamika wakati hakuna mkataba uliosainiwa. Hizi fitina za kutaka hawa jamaa waonekane ni wabovu ni zile zile za miaka yote.

Lakini uzoefu wa ufanisi wetu ni mbovu sana. Bandari yetu inao uwezo wa kuingia pesa hata mara nne ya hiki kinachopatikana tatizo ni wizi wetu na mambo mengi ya kienyeji tuliyonayo.
 
Haisaidii kumlaimu marehemu mjomba wako wew sasa piga kazi, wew si uko Hai? Piga mzigo
Kama marehemu aliiharibu kila kitu asisemwe kisa amekufa?Pengine mzazi alikuwa na mashamba ,nyumba mbalimbali,ng'ombe,mbuzi,maduka halafu akatokea mtoto kwenye familia hiyo mchawi na mwenye roho mbaya akavimiliki vyote hivyo na kuviuza bila utaratibu mwisho wake anapokufa bila kuacha kitu chochote ndugu zake watulie tu kisa amekufa waendelee kupambana na hali zao?
 
Ukimuona kobe juu ya mti kapandishwa. Tumng'oe aliyemweka
Shida ni Katiba yetu iliyompa Rais wa Nchi madaraka makubwa.

Haiwezekani Katiba impe Rais umiliki wa Ardhi na vilivyomo, utasema Rais amekuwa Mungu 🙌
 
Tatizo sio yeye,wa kumng'oa ni huyo aliyemteua

#sa100mustgo
 
Mshukuru sana mnaongoza nguruwe pori maana hii jamhuri imejaa mapoyoyo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaojua kusoma na kwandika[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ooh samahani tunajua na kuvaa suti tu ikifika maswala ya nchi wote tunakuwa misukule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
JPM hakupandisha mishahara kwa wafanyakazi kazi, kuijenga bandari!
JPM alipora pesa za wafanyabiashara wakwepa kodi kuijenga bandari!
Mwarabu ambaye babu zake waliwafanya watumwa babu zetu anakuja kula keki, yeye kisha kuwarithisha wana, wajukuu na vitukuu vyake!

Salaleee! [emoji848][emoji848]
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1686228048677.jpg
    42.7 KB · Views: 4
Tena nalumbuka zitto alitetea mno mradi wa gesi kwa maneno mengi ya kitapeli.Leo hayajatokea kimyaaa!
 
Iwekenihapa hiyo article 20 ya mkata ili tuone
 
Siyo kulishana matango pori,
 
Bado yupo ofisini, anadunda tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…