#COVID19 Profesa Makubi: Serikali imeunda Kamati ya wataalamu kufuatilia masuala ya Chanjo ya Corona

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.

Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Mmebana mmeachiaaa....haahahaa
 
Hatimaye sayansi yashinda!

Maendeleo ya kweli hayajawahi kuibagaza sayansi!
 
Acheni basi kwaiyo zile mashine tulizozifunga muhimbili tueze kuzingua ety
 
Msiwape tena wanasiasa nafasi kuingilia fani yenu. A good step towards combating corona virus
 
Ikija kujiridhisha baada ya mwaka mmoja ni watu wangapi watakua wameshaangamia na hili gonjwa?
 

Hiyo kamati ya wataalamu ni wapuuzi,wanachunguza chanjo ya wanaume wenzao badala ya kukaa chini na kutengeneza ya kwao.
 
Ni miongoni mean habari njema,kama ni taarifa halisi.
 
Chadema hamnaga jema!
Bwashee kama hao wataalam hawana imani basi watengeneze ya kwao tuitumie,wanajiita wataalam wakati hata kutengeneza dawa tu ya kuua mbu hawawezi.....Upuuzi mtupu ,wao mabeberu wenye hightek wanachanjwa sisi ni nani tutilie shaka? Kama kutuua basi tuache kutumia chanjo nyingine na ARVs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…