Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mi nadhani tungeunda tu chanjo yetu...
Maana kama tuna wataalam wenye kuthibitisha ubora wa chanjo za wengine, basi si haba twaweza tengeneza ya kwetu... (am assuming hawata thibitisha kwa kudunga samples) bali kwa kuivunavunja chanjo na kujua imeundwaje
Maana kama tuna wataalam wenye kuthibitisha ubora wa chanjo za wengine, basi si haba twaweza tengeneza ya kwetu... (am assuming hawata thibitisha kwa kudunga samples) bali kwa kuivunavunja chanjo na kujua imeundwaje