Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnasikizaga na vyombo vya habari vya nje kweli? Wakati nchi kibao wanasitisha hizo chanjo ili zichunguzwe upya unaongea upuuzi so far duniani. Magufuli wa right and better than any president huwezi kimbilia chanjo kabla hujajua madhara yake in long run. Wenzako waliokimbilia sasa wanarudi kuanza utafiti upya na ni izo nchi zilizoendelea so saa nyingine kuliko kufanya maamuzi ya kukurupuka bora kusubiri kwanza usijejikuta unaua watu wengi zaidi kuliko ambavyo corona ingeua
for reference
Aliyemteua ni ngosha, KM ni ngosha, CMO naye ni ngosha, hayaMganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wanataka kupiga pesa hakuna jipyaHiyo kamati ya wataalamu ni wapuuzi,wanachunguza chanjo ya wanaume wenzao badala ya kukaa chini na kutengeneza ya kwao.
Chanjo isije kwanza mpk jiwe aisome namba.Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Hapa hoja ni kupita kifua mbele mikono umetanua utadhani unamajipu makwapani halafu hata dk 10 hazijaisha unarudi kichwa chini mikono nyuma.Chadema hamnaga jema!
Ikija kujiridhisha baada ya mwaka mmoja ni watu wangapi watakua wameshaangamia na hili gonjwa?
hizo nchi ulizotaja sio wanaotengeneza chanjo.Unashangilia wakati huko zinakotoka wanasitisha matumizi baada ya kuanza kuwatoa roho?
Tumieni akiri.basi wakati mnachangia, pia muwe mnafuatilia taarifa za huko nje pia.
Denmark, Austria na kungine wamesitisha kuzichanja.
Dalili zinaonyesha hivyoWashalegea?
Acha kutumia maneno ya wahuni ndugu, nakuheshimu sana humu jukwaaniMmebana mmeachiaaa....haahahaa
Mkuu..tumeanza kupangiana cha kuandika?why..mie hapo niliimba sikuandika sentensAcha kutumia maneno ya wahuni ndugu, nakuheshimu sana humu jukwaani
Na hili nalo watapinga...Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Angetuwekea na wajumbe wa tume isije kuwa ni hawa wanasayansi/wanasiasa.Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Tutaelewana tu. Wewe ni nani upingane na WHO? Jinga lao tu anaweza hilo.Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Siku nyingiiii. Hawana huo ubavu mbele ya dunia ya afya chini ya WHO. Hawa wataalamu wa dunia huwa wanatuangalia na kucheka tu. Kwamba watakufa kwa ujinga wao ama la watasalimu amri tu. Ndio maana huwa wanajinyamazia tu wakati hili jamaa katili linapotumia madhabahu kuropoka.Washalegea?
Hadi sasa dakika 1Mpaka sasa dk 35
SAYANSI 5
USHIRIKINA 0
Ni kucheka tu. Kama angalau umefika elimu ya Darasa la Saba tu na ulifundishwa na kujifunza vizuri unajua tu kwamba haya ya akina Jiwe ni kujilisha upepo tu mbele ya ukweli wa kisayansi. Sayansi ikisema huyu mtu hana uhai tena ni 99%. Hiyo moja tunaweza kuachia miujiza ya Mungu. Lakini akija mwanasiasa uchwara Jiwe akasema msizike huyu ni mzima kabisa hapo ni porojo tu kama zile za akina Gwajima eti wanafufua wafu kumbe ni misukule yao waliyoifuga iwasaidie kwenye utapeli wao kwa kutumia neno la Mungu.Kabisa. Hii awamu mtu unaudhika na kukasirika kweli kweli lakini mara unajikuta unacheka.