nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Ndiyo mwanzo wa kulegea huo".....hadi pale serikali itakapojiridhisha kama chanjo zitumike ama la"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mwanzo wa kulegea huo".....hadi pale serikali itakapojiridhisha kama chanjo zitumike ama la"
Mmebana mmeachiaaa....haahahaa konyo nyie
Tushukuru walisubiri miezi kadhaa kabla ya kuanza. Haraka haraka haina .....Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wanatafuta namna ya kuzipokea hizo chanjoMganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Wanajifanya wanarudi kitaalamMmebana mmeachiaaa....haahahaa konyo nyie
Wanafanya yote!Je hao wataalamu wako maabara wanatengeneza chanjo ya korona au wako google wanafatilia kujua chanjo ipi ya mabeberu inafaa kutumika tz?
Hatimaye mataga mmelegea na kukubali mtobolewe chanjo ya mabeberu.Wanafanya yote!
Uwezo wa kutengeneza hatuna. labda kifanyia majaribio kujua ipi nzuriJe hao wataalamu wako maabara wanatengeneza chanjo ya korona au wako google wanafatilia kujua chanjo ipi ya mabeberu inafaa kutumika tz?
Majaribio yataanzia Ufipa!Hatimaye mataga mmelegea na kukubali mtobolewe chanjo ya mabeberu.
Imagine sasa hivi kuko sindano ya kwanza anadungwa nani tena 🤣🤣🤣Majaribio yataanzia Ufipa!
J J Mnyika!Imagine sasa hivi kuko sindano ya kwanza anadungwa nani tena 🤣🤣🤣
Hii chanjo siyo kabisa! Kuna nchi nyingi tu za ulaya wamejikuta wanalazimisha kusitisha chanjo hizi. Watu wanakufa!! Siyo utani. Tujipe mwaka tu ili kufika 2022 muda kama huu kitu litakuwa kimeeleweka.Bwashee kama hao wataalam hawana imani basi watengeneze ya kwao tuitumie,wanajiita wataalam wakati hata kutengeneza dawa tu ya kuua mbu hawawezi.....Upuuzi mtupu ,wao mabeberu wenye hightek wanachanjwa sisi ni nani tutilie shaka? Kama kutuua basi tuache kutumia chanjo nyingine na ARVs.
kamwe politics haitoweza kuishinda siasa.Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
nchi zipi hizo? idadi ya wtu wangapi wamekufa kutokana na kupewa chanjo?Hii chanjo siyo kabisa! Kuna nchi nyingi tu za ulaya wamejikuta wanalazimisha kusitisha chanjo hizi. Watu wanakufa!! Siyo utani. Tujipe mwaka tu ili kufika 2022 muda kama huu kitu litakuwa kimeeleweka.
hakuna mtu anakulazimisha. wala huto lazimishwa.Seriali ikubali ikatae,sitokaa nichome chanjo labda without my knowledge au kwa kushikwa kwa nguvu.