#COVID19 Profesa Makubi: Serikali imeunda Kamati ya wataalamu kufuatilia masuala ya Chanjo ya Corona

#COVID19 Profesa Makubi: Serikali imeunda Kamati ya wataalamu kufuatilia masuala ya Chanjo ya Corona

Nadhani wewe sio mfuatiliaji wa taarifa, hakuna kigeni hapo. Msimamo wa Serikali ilikuwa kujiridhisha ili kuamua chanjo au la, sasa mambo ya kulegea yanatoka wapi tena?
Jitahidini kuwa wafuatiliaji.

Muongo wewe!! Kuna kitu hutangulia kisha kingine hufuata. Hii wanayosema sasa hivi ndio ilipaswa kutangulia badala ya “machanjo yatatuletea magonjwa mengine”. Sayansi inataka utafiti kwanza halafu uamuzi!

Kama hatukufanya utafiti wa kirusi chenyewe - hatuna uwezo wa kuchunguza chanjo wala dawa yake!! Tuache utani!
 
Ikija kujiridhisha baada ya mwaka mmoja ni watu wangapi watakua wameshaangamia na hili gonjwa?
Wanachokifanya ni kupoteza lengo tu, kiufupi wameshakubali na haitochukua muda utasikia kamati imejiridhisha chanjo itumike hapa bongo.
 
Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.

Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

..naona wamelegea sasa.

..utasikia karibuni chanjo inaingizwa nchini.
 
Hakuna siku serikali ilisema hatutaki chanjo, serikali ilisema hatutakuwa sehemu ya majaribio ya chanjo.
 
..naona wamelegea sasa.

..utasikia karibuni chanjo inaingizwa nchini.
Jidanganye chanjo hatakanyaga ardhi ya bongo.Kwa jirani tayari kimenuka majibu ya chanjo ni utatanishi.Tuliza na jipe muda mwafa
 
Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.

Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Ahahahaaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Mpaka kwanza bomu lipige kunakohusika. Wakati makapuku wanaanguka tulikuwa na lugha nyumu johnthebaptist
 
Jidanganye chanjo hatakanyaga ardhi ya bongo.Kwa jirani tayari kimenuka majibu ya chanjo ni utatanishi.Tuliza na jipe muda mwafa

..hujasikia kwamba Saudi Arabia haitapokea Mahujaji ambao hawajapata chanjo ya Covid-19?

..mataifa mbalimbali yakianza kuweka masharti ya aina hiyo tutakuwa hatuna jinsi, unless hatutaki kushirikiana na mataifa mengine.
 
Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.


Mimi nilidhani tume itakayotafuta chanjo yetu wenyewe ya Corona kumbe ni tume itakayofuatilia chanjo za mabeberu kama zinafaa kutumiwa!!--- kweli Waafrika tuko nyuma sana ya wenzetu.

Pathetic.
 
Hiyo kamati ya wataalamu ni wapuuzi,wanachunguza chanjo ya wanaume wenzao badala ya kukaa chini na kutengeneza ya kwao.
Ninachofahamu siyo kuchunguza, ni kufanya validation. Hii huwa inafanywa kwa chanjo zingine, madawa na vitendanishi vinavyoingia nchini kabla ya kuanzia kutumika. Ni utaratibu wa kawaida, swali ni kama tunayo capacity ya kufanya hivyo...! Au tuta outsource kama tunavyofanya kwenye maeneo ambayo hatuna uwezo mayo.
 
Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona.

Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
kamati ndani ya kamati huku iliyo unda kamati kuitaka kamati kukuu kujua nini kwenye tume ya kamati.maneno ya roma msanii

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom