Profesa Mark Mwandosya kuwa Rais kwa kipindi kimoja, Roho Mtakatifu amenituma niseme

Profesa Mark Mwandosya kuwa Rais kwa kipindi kimoja, Roho Mtakatifu amenituma niseme

mzee kachoka anatembelea mkongojo now unataka awe hangaya hahahahahaaa watu mnaota sana ndoto za mchana
Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
 
Mwandosya nilienda kumuona nyumbani kwake Kyela, afya imedorora na amechoka sana. Atachosha taifa, aachwe apumzike. Majikumu yale yanataka mtu makini na timamu kimwili.

Mwandosya hata ngazi za ndege Boeing 373 hawezi kumaliza
 
leo dawa umekunywa mkuu?pia jitaid umalize dozi
Mkuu sina matatizo yoyote ya kiafya elewa tu Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
 
Mwandosya nilienda kumuona nyumbani kwake Kyela, afya imedorora na amechoka sana. Atachosha taifa, aachwe apumzike. Majikumu yale yanataka mtu makini na timamu kimwili.

Mwandosya hata ngazi za ndege Boeing 373 hawezi kumaliza
Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
 
Acha kumhusisha Roho Mtakatifu na mambo yako ya ajabu ajabu.
Kwako mkuu ndio ajabu lakini ni suala linatokea kila siku kwenye maisha ya kila siku elewa tu Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
 
Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
Naam, Kama Taifa tukiwa waijiwa na Sauti / Wasikiliza Sauti ndio definition hio ya Taifa la Wapiga Ramri...

Sijasema kama ni vibaya au vizuri bali nimelipa jina mwenendo wa Taifa letu.., Ila huenda tungeweza sana kuhusu huu Ukame sauti ingetujia jinsi ya kutumia maji yaliyotuzunguka...
 
Hivi bado yupo?

Hii kitu haitokaa ije kutokea NEVER

Kama ni mwandosya mwenyewe UMEANDIKA unajidanganya na tamaa zako.

URais utaendelea kuusikia redioni.
 
Hivi bado yupo?

Hii kitu haitokaa ije kutokea NEVER

Kama ni mwandosya mwenyewe UMEANDIKA unajidanganya na tamaa zako.

URais utaendelea kuusikia redioni.
Usimsingizie mzee wa watu kwanza hata hanijui, me pia simjui kabisa tofauti na kumuona kwenye picha au TV, lakini elewa ni nini kimenisukuma kuandika hapa ."Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!"
 
Back
Top Bottom