Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimbweka ntake radhi mwanangu, mimi ndiyo nilikufundisha UDSM. Umepata kazi sasa unatudharau.SawaAcha mapepe wewe huo ni ushindi wangu na kuwezeshwa na Prof, acha wivu na bado nipo vzr vitoto vingine bhana ...
Kimbweka ntake radhi mwanangu, mimi ndiyo nilikufundisha UDSM. Umepata kazi sasa unatudharau.Sawa
Sasa kama ndiyo hivyo wakiisha wote si tutabakiwa na hawa asilimia 60% wa Dk. Kawambwa.Sababu ya kupenda kukaa ''sitting room''za Sinza/Mwenge/Mpakani na Kinondoni
Kukamata watu ni sifa? Maprof wa kibongo wengi hufa without any recognition! Wanafanya mapenzi ovyo na wanafunzi wa kike,hawana mchango wowote kwa taifa,wamejaa kiburi kwa kukariri mambo!Hata wafe wote maana hatuoni mchango wao zaidi ya kufrustrate watu na kubwabwaja maneno ovyo
Pole kwa mzee (mkonzi), sute, lily (mihayo), kibibi na mdogo wa mdogo kanitoka jina! Nilicheza nao udsm enzi hizooooo! Rip prof!!
Pole kwa mzee (mkonzi), sute, lily (mihayo), kibibi na mdogo wa mdogo kanitoka jina! Nilicheza nao udsm enzi hizooooo! Rip prof!!
Ulikulia mitaa gani?..Darajani?Simba Road?,Estate? Kileleni?,Mikoroshini? Au wapi? Ilikuwa mwaka gani?Pole kwa mzee (mkonzi), sute, lily (mihayo), kibibi na mdogo wa mdogo kanitoka jina! Nilicheza nao udsm enzi hizooooo! Rip prof!!
alikuwa anaitwa nkonze masuha!
oh jamani mbn hivi.pole sana nkonze. cacico unawakumbuka na kina beatus wambali nao walifiwa na baba yao last week!dah!
Wewe Humjui Prof.Kimbweka? Pita Jukwaa la Mambo yetu yaleee CHEDHEA Prof.KIMBWEKA ww?watu wengine kwa mbwembwe: best student in ......halafu ukaishia wapi?
nimezaliwa simba road, then tukahamia kileleni nikiwa 4yrs old mpaka naolewa nimeondokea hapo! Am missing those areas, am missing ud, mpaka leo nasali kanisa la chuo! Nimeshindwa kuhama! Alot of memories down there, kudalikana kidali na fr. Mogella na fr sawia!! Lol! Mmenikumbusha mbaliiiiiiiii!ulikulia mitaa gani?..darajani?simba road?,estate? Kileleni?,mikoroshini? Au wapi? Ilikuwa mwaka gani?
yap, dadake lily aliniambia!! A step foward kwa nkonze! Ni kichwa yule mtoto namkubali! Kama sute tu!nkonze now anafanyia ttcl na anaoa mwezi wa sita
na josephine kanywani amefariki usiku wa kuamkia leo, so survey kuna misiba miwili!! Anakwaa kule chini jirani na prof nanyaro na dr masenge!!alikuwa anaitwa nkonze masuha!
Oh jamani mbn hivi.pole sana nkonze. cacico unawakumbuka na kina beatus wambali nao walifiwa na baba yao last week!dah!
Hakika basi nitakua nakufahamu,,Unakumbuka enzi za New Years Party Udasa pale watu na Cupons zao za vinywaji na Misosi full kubembea stress free kipindi hichonimezaliwa simba road, then tukahamia kileleni nikiwa 4yrs old mpaka naolewa nimeondokea hapo! Am missing those areas, am missing ud, mpaka leo nasali kanisa la chuo! Nimeshindwa kuhama! Alot of memories down there, kudalikana kidali na fr. Mogella na fr sawia!! Lol! Mmenikumbusha mbaliiiiiiiii!
kagea ndiye yupo precision air?? Aliyemaliza engineering ni yupi??atakua kagea