TANZIA Profesa Masuha wa UDSM afariki dunia

TANZIA Profesa Masuha wa UDSM afariki dunia

hakika basi nitakua nakufahamu,,unakumbuka enzi za new year party udasa pale watu na cupons zao za vinywaji na misosi full kubembea stress free kipindi hicho
kabisaaaaaaa baba lessse ndiye alikuwa akiimbisha kibisa!! Ulikuwa unakuja sunday school michezo ya kinisani na mongella na juanita puja, tadei semboja, peter kyulule etc??? Was sooooooo funny! Mwl mndolwa na mlimani primary je?? Ujue lintu alikufaga, mtoto wa mwl mwampembwa!
 
kabisaaaaaaa baba lessse ndiye alikuwa akiimbisha kibisa!! Ulikuwa unakuja sunday school michezo ya kinisani na mongella na juanita puja, tadei semboja, peter kyulule etc??? Was sooooooo funny! Mwl mndolwa na mlimani primary je?? Ujue lintu alikufaga, mtoto wa mwl mwampembwa!
Dah nilisikia R.I.P Lintu,,,Yeah mwalimu mndolwa wa mlimani primary namkumbuka bila kumsahau mwalimu Naimani mama yao kina Michael na Nipaeli,Mwalimu Mwaipopo kitambo sana dah!!! Basi wewe Kampani yako ilikua kina Diana Mongula,Christofa si ndio?
 
Dah nilisikia R.I.P Lintu,,,Yeah mwalimu mndolwa wa mlimani primary namkumbuka bila kumsahau mwalimu Naimani mama yao kina Michael na Nipaeli,Mwalimu Mwaipopo kitambo sana dah!!! Basi wewe Kampani yako ilikua kina Diana Mongula,Christofa si ndio?
hapana, diana ni mdogo sana kwangu, mimi nilikuwa na dada yake beatrice mongula darasa moja na wakina emmanuel semboja wenye x-car rent sasa hivi!! tena diana mongula kaolewa na charles semboja ujue, wanakaa netherlands kwa sasa!! nilikuwa na kina david puja na allen kaijage etc
 
@Rular swagga na cacico mispendi mjue!
mambo gani hayo ya kukumbushana bembea za udasa na mbio za mabwawa saba!
plus mama mndolwa na mwal semboja,kina diana,linda mlunde,majuto na walter sijui kina naomi magehema!
uuuiwi i miss those times!i miss it!
 
Last edited by a moderator:
@rular swagga na cacico mispendi mjue!
Mambo gani hayo ya kukumbushana bembea za udasa na mbio za mabwawa saba!
Plus mama mndolwa na mwal semboja,kina diana,linda mlunde,majuto na walter sijui kina naomi magehema!
Uuuiwi i miss those times!i miss it!
majuto kaoa mwaka jana mwishoni, naomi magehema yuko wapi, nimemmiss, dada yake alikuwa cuteeee anita magehema! Linda mlunde aliolewa, mdogo wake jackq mlunde! Mmenikumbushaje mbali! Mabwawa saba, ndio kulikuwa kwa kucheza michezo ya kibaba na kimama! Kwi kwi kwi!
 
majuto kaoa mwaka jana mwishoni, naomi magehema yuko wapi, nimemmiss, dada yake alikuwa cuteeee anita magehema! Linda mlunde aliolewa, mdogo wake jackq mlunde! Mmenikumbushaje mbali! Mabwawa saba, ndio kulikuwa kwa kucheza michezo ya kibaba na kimama! Kwi kwi kwi!

naomi yupooo!anita kawa mdadaje!na G wao!linda mlunde kichwa chetu!kha!alitunyanyasaga darasani yule dogooooo kha!
ila kulikuwa na familia flani hv ile siku ya kupewa ripoti kwenye skul baraza(balaza tulikuwa tunasema)walikuwa wanaitwa kina nani waleee walikuwa na vichwa flan hiv,yani mdogo mtu aliye la kwanza na kakake wa la nne ni hivo,wa la tano ni hivo,wa la saba ni hivo!
tulikuwa tunakomajeee,!
 
hapana, diana ni mdogo sana kwangu, mimi nilikuwa na dada yake beatrice mongula darasa moja na wakina emmanuel semboja wenye x-car rent sasa hivi!! tena diana mongula kaolewa na charles semboja ujue, wanakaa netherlands kwa sasa!! nilikuwa na kina david puja na allen kaijage etc
Eeeeh kama umesoma na dada Bety class moja naomba nikupe shikamooo!! Hivi yuko wapi cku hizi jamani Diana yupo holland muda kweli yani cjui hata kama nikikutana nae nitamjua.Unawakumbuka wale watoto wa mzee Maboko? Mulish,Imma pamoja na Shani?
 
ahahahhahahha ila msafiri alikuwa na fujo jamani!kale kamwili sasa!mwe!umenifanya nicheke kwenye thread ya msiba!mwe!mtoto alikuwa mtata yule!sijapata kuona!
Na yale meno yake tulikua tunamwita Vinjino,,,alikua ana kipaji cha kuchora akikuchora unatokea kama kitu cha photoshop.
 
RIP Prof. Nilikuwa na hamu sana kusoma UDSM chini ya Uangalizi wake ila ndiyo sikupata hiyo bahati na sikuweza hata kubahatika kuja kuonana naye uso kwa uso zaidi ya yeye kunisikia na mie kumsikia.
 
r.i.p prof masuha, bwana alitoa bwana ametwaa, apumzike kwa amani na mwanga wa milele umwangazie, wakati ule japo akunifundisha ila alikuwa prof mahiri sana, mimi nilikuwa c.e, rip prof
 
hapana, diana ni mdogo sana kwangu, mimi nilikuwa na dada yake beatrice mongula darasa moja na wakina emmanuel semboja wenye x-car rent sasa hivi!! tena diana mongula kaolewa na charles semboja ujue, wanakaa netherlands kwa sasa!! nilikuwa na kina david puja na allen kaijage etc

Mwana Ilboru huyu..............
 
kabisaaaaaaa baba lessse ndiye alikuwa akiimbisha kibisa!! Ulikuwa unakuja sunday school michezo ya kinisani na mongella na juanita puja, tadei semboja, peter kyulule etc??? Was sooooooo funny! Mwl mndolwa na mlimani primary je?? Ujue lintu alikufaga, mtoto wa mwl mwampembwa!

Jamani nimeshtuka eti Lintu alifariki? Ilikuaje jamani?
 
Jamani nimeshtuka eti Lintu alifariki? Ilikuaje jamani?
tena sio zamani nasikia! dadangu mkubwa ndio alisoma naye mlimani primry, nilikutana naye majuzi ndio kuniambia hizo habari,
 
Dah basi mkuu wewe ni wa zamani sana,,Maana huyu Mzee alikua Dean kipindi hicho Foe Mwaka 1985 – 1991 kama sikosei then akawa Dean tena 1997 – 2000.Mimi nimeondoka palen CoET Principal wetu alikua Prof Katima sijui bado yupo naye??
R.I.P Prof. John R. Masuha
Kijana COET yenyewe nimeiona kwenye shule ya juu! wengine humu baba zenu.
 
tena sio zamani nasikia! dadangu mkubwa ndio alisoma naye mlimani primry, nilikutana naye majuzi ndio kuniambia hizo habari,

Nasikitika sana na kumuonea huruma Prof.Kanyanywi, wife passed away, mvurana wake milembe Dodoma the only daughter amefariki recently.
 
Back
Top Bottom