Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 855
Ratiba za Kijinga walimu wengi nchi hii wanafikiri kukaririsha mtoto muda mrefu ndio kufaulu, na shule nyingi sasa hivi hiziipi kipaumbele extra curricular activities ni mwendo wa masomo tu mtoto akirudi yuko hoi!! Mbona zamani hatukusota hivyo na tulifaulu!
Shule hata viwanja vya michezo haviipi kipaumbele, elimu yetu inahitaji sera thabiti na usimamiwaji wake.
Shule hata viwanja vya michezo haviipi kipaumbele, elimu yetu inahitaji sera thabiti na usimamiwaji wake.