Hapo Mzembe ni Mzazi kumpeleka mtoto mbali na shuleKuna mambo ambayo yanaenda kwenye extremes, tusitake kutetea vitu visivyoteteeka, mambo kama haya yanayolalmikiwa hapa.
Tuseme kwa mfano, mtoto wa kindergatten kuonekana kituoni saa 11 asubuhi akiwa anasubiria gari la shule kumchukua aende shule, ni sahihi? Matokea mazuri kila mmoja anayahitaji ndiyo lakini swala la usalama na afya za wototo ni la muhimu kuzidi hayo matokeo mazuri yanayoweza kupatikana kwa njia hii
Unaweza kataa maana si shule zoteNa kibaya zaidi hizi shule zinajenga mazingara ambayo taka usitake mtoto lazima utampeleka boarding,imagine wanahakisha mtoto awepo darasani saa kumi na mbili asubui na jioni unaambiwa umfuate saa tatu usiku.Jamani huyu mtoto ana miaka kumi na moja tu anapelekeshwa kama vile ameanza kusomea degree ya engineering
Ngozi nyeupe zitaendelea tutawala sababu wanajali sana afya za watoto waoWazazi wengi wa mjini ndio wanapenda hivyo pia! Ni ulimbukeni haswa.
Asilimia 90 ya wanafunzi waliopata A ukiwahamisha mitaala wanapoteaMtoto huyo huyo anayesoma saa 12 hadi saa 3 ukimpeleka shule za International wanaosoma saa 2 hadi saa 9,, anapwaya [emoji1787]
So arithmetic, science za ist za kids wa class 5, ni tofauti na za necta darasa la 5 ni tofauti??,, [emoji1787]ni lazima uwe mwalimu ili utambue kuwa internal schools (IST,Morogoro, Moshi) hazifundishi kwa kufuata mtaala wa tanzania?
International wanasoma hadi sets wakiwa primarySo arithmetic, science za ist za kids wa class 5, ni tofauti na za necta darasa la 5 ni tofauti??,, [emoji1787]
Nyinyi ndo wale ambao mnadhani the difference of two education ziko kwenye content na sio pedagogy and philosophy [emoji23][emoji23] mpuuzi kweli ww,,
by the way nimehudhuria class nyingi mno kama substitute teacher MIS,,
Sio kweli nna wadogo zangu mmoja yuko form one sasa hv tanzania, mwingine la 3 wote before walisoma Uganda,, kinachowasumbua ni kiswahili ila huko kwengine wanakimbiza vizuri tuAsilimia 90 ya wanafunzi waliopata A ukiwahamisha mitaala wanapotea
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna mtu anasema eti wakija huku wanafeli,, nimemwambia labda kiswahili
Tatizo ni ada ndefu tu ila wale wanasoma kwa vitendo.Kuna mtu anasema eti wakija huku wanafeli,, nimemwambia labda kiswahili
Nilimaanisha hawa wa necta wengi ukiwahamisha mitaala wanapotea, ukitaka amini badilisha jinsi ha kutunga swali afu mpeSio kweli nna wadogo zangu mmoja yuko form one sasa hv tanzania, mwingine la 3 wote before walisoma Uganda,, kinachowasumbua ni kiswahili ila huko kwengine wanakimbiza vizuri tu
Siyo wazazi. Disadvataged geographical locations, coupled with customers' levels of incomeHapo Mzembe ni Mzazi kumpeleka mtoto mbali na shule
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Field yangu ya kwanza nilitoa knockout Biology takers wote form 6,, nliwachomolea maswali from AP biology mark kubwa sana ilikuwa 13Nilimaanisha hawa wa necta wengi ukiwahamisha mitaala wanapotea, ukitaka amini badilisha jinsi ha kutunga swali afu mpe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Elimu ya necta ni kukaririsha wanafunzi, ndo maana wanasomesha watoto kuanzia saa 12 asubuhi. Mtu anafanya maswali tuField yangu ya kwanza nilitoa knockout Biology takers wote form 6,, nliwachomolea maswali from AP biology mark kubwa sana ilikuwa 13
Siyo swala bali sualaKuna mambo ambayo yanaenda kwenye extremes, tusitake kutetea vitu visivyoteteeka, mambo kama haya yanayolalmikiwa hapa.
Tuseme kwa mfano, mtoto wa kindergatten kuonekana kituoni saa 11 asubuhi akiwa anasubiria gari la shule kumchukua aende shule, ni sahihi? Matokea mazuri kila mmoja anayahitaji ndiyo lakini swala la usalama na afya za wototo ni la muhimu kuzidi hayo matokeo mazuri yanayoweza kupatikana kwa njia hii
Hiyo mbinu ya kusoma masaa yote umeona wapi wewe?Unajua kila mtu anapeleka mtoto Private ili apate matokeo mazuri katika mitihani. Walimu wakitumia mbinu za kiwafanya vihiyo wawe vipanga, tunaanza kulalamika. Si umtoe umpeleke shule ya serikali? Hatujui tunataka nini! No sweet without sweat bwashee
Kila kukicha wazazi wanaitwa mashuleni na kuambiwa kuwa wanatakiwa kuchangia. Lakini nilichokuja kukigundua ni kuwa wakati wa marehem Magufuli pesa hizo zilitosha kufanya mambo yote ambayo leo wanachangisha wazazi kwa nini? Kulikuwa na michango kwa kiasi kidogo mno tena inawezekana mara moja kwa mwezi au inaweza kupita hata miezi miwili. Kwa nini leo wadai pesa hazitoshi na wazazi wanatakiwa wachangie?Kuhusiana na hiyo michango, mnatakiwa mkae chini wazazi na kamati zenu za shule, mwishowe sasa tutamchangaya Waziri. Waziri tumwachie yale tu ambayo sisi hatuyawezi
Mbali na hilo, kama hiyo michango siyo mikubwa sana, funika kombe mwanaharamu apite. Jaribu kufanya ulinganifu kati ya uthamani wa kile unachotafuta mtoto wako apate, na kiasi hicho cha fedha ambacho walimu wanakuhitaji utoe.
Tuacheni kukaa tunawalalamikia walimu, wao pia ni wazazi na hawawezi kupanga kitu ambacho si cha maufaa kwa mzazi, always walimu wanapanga kitu kwa mtoto; kwa ajili ya faida ya mzazi wa mtoto