Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Kuna weza kuwa na mafuriko mwaka huu mwakani kukawa ukame kupita maelezo
Uhakika wa umeme wa maji uende sambamba na matunzo ya vyanzo vya maji, iwapo kutakuwa na mkakati wa kutunza vyanzo vya maji nyanda za juu kusini na kuwapunguzia gharama za gas wananchi wa kule ili wapunguze matumizi ya kuni na mkaa, itasaidia sana kuwepo kwa maji ya uhakika Rufiji
 
Kuwekeza kwenye Umeme wa maji ni bahati nasibu.Kila siku tunaongelea mabadiliko ya tabia nchi.Kuna weza kuwa na mafuriko mwaka huu mwakani kukawa ukame kupita maelezo.Umeme wa uhakika ni gas ,makaa ya mawe ,nguvu ya nyuklia!
You are right na gesi Tanzania tunayo nyingi...50% ya Tanzania ina gesi
 
Maji yatakapopungua sababu ya mazingira wala hatutahofu kukosa umeme..., sababu matumizi ya maji / uhai yatakuwa yemeshatuondoa kabla ya hio Nishati...

Point labda angesema Hii Rufiji specifically ina madhara ya kimazingira na sio kupitwa na wakati.., ingawa hata extraction ya gesi pia sio environmental friendly be it natural au petrolium...

HEP ni renewable inatumia natural cycle ya maji kutengeneza umeme (hakuna conversion / mabadiliko yoyote ya hayo maji) ni ile force ya maji kuzungusha turbines Force = Height x Density x Gravitational Force..., (cha maana hapo ni variable ya height / kimo) peleka maji juu zaidi unaongeza force..., kwahio kama kuna sehemu yenye natural flow yenye kina cha kutosha (automatically HEP is the way to go) Na badala ya kuogopa kukosa maji yakikauka tutakosa umeme tungepanic kwanza kukosa maji ya kutumia as we all know maji ni uhai
 
Gas alishauziwa mchina tuna chini ya asilimia 40 kwenye gas yetu anachotaka huyu mpuuzi ni tuingie mikataba na wachina watuuzie gas YETU naona ashaitwa pembeni na macho kengeza ...GAS TULISHALIWA KICHWA KITAAAMBO
Gas haijauzwa kwa mchina, wala mchina hajawekeza kwenye gas Tanzania wala hana kampuni lolote la gas Tanzania
 
Tuliahidiwa Kinyerezi zitashusha gharama ya umeme nchini, tuliambiwa umeme hautakatikakatika, tujibu kuanzia hapa
 
Mkuu kuna watu wana kipaji cha kukurupuka, huwezi kuwa na akili mgando kushindwa kufanya diversification ya vyanzo vya nishati ukae ukitegemea bwawa la maji ambalo linaathiriwa muda wowote na changamoto za kimazingira, haya mambo ndo yamefanya maendeleo ya miradi inayotumia gesi kusuasua ikiwemo gesi ya kwenye magari, nchi nzima sehemu ya kujaza gesi kwenye magari ni moja tu! gesi ya kutumia kupikia majumbani nayo inasuasua, tunaagiza arabuni wakati tunayo deposit ya gesi kubwa sana, huu ni upumbavu ambao aliwaaminisha mwendazake na nyinyi kumeza kama mazuzu...
 
Tuliahidiwa kinyerezi zitashusha gharama ya umeme nchini, tuliambiwa umeme hautakatikakatika, tujibu kuanzia hapa
Tanzania tuna gesi nyingi mpaka sasa inazalishwa mpaka inakosa matumizi, umeme kukatika ni miundombinu mibovu na ya zamani inachangia matengenezo kila kukicha. Bei ya umeme kwa sasa ipo chini ukifananisha na miaka ya zamani.

Watu wanalipa tsh 9,300 kwa unit 78+,ukiona umeme kwako upo juu basi matumizi yenu ni makubwa pia sawa na viwandani
 
Profesa Ngwale alikuwa anatumia 'foolish professor' for full professor. JPM alikuwa very genius kwa kumfanya Prof Muhongo miongoni mwa watu wa kutumbuliwa mapema. Huyu Muhongo hajajisumbua hata kujua kuws ktk uwekezaji lazima kuingia gharama na hasara kabla ya kuanza kuvuna faida.

Vv
 
Will the move from Gas dependent to HEP lower costs to end user?
 
Prof. Hili la kukebehi ujenzi wa mradi wa umeme wa Maji umetudanganya.

Umeme wa Maji bado ni tegemezi duniani, unaposhauri weka mbali maslahi yako.

Upo Tanzania mwanzo wa huu mradi mpaka sasa ulikua wapi kusema haya mwanzo wa mchakato.
 
Wabunge wengi na watumishi waandsmizi kwenye sera,ni watu wakuchumia tumbo,anaongea hivyo kumbe amenunuliwa kapewa wimbo aimbe
 
Mnamjadili mtu ambae nimesha attend lecture zake mwaka mzima

Mzee huyo ni smart sana kichwan..na ni mwalimu mzur sana na amebobea kwenye hiko anachoongea

Ni mmoja ya watu walioandaa geological map ya Tanzania miaka hyo

Enewei...alichoongea ni sawa kabisa.

Tatzo ni moja tu.Tanzania haijawa tayar kwa mirad hyo ya gas ili kuweza faida kama nchi.watafaidika wachache sana na ni hao walioko huko juu

Sabab miundombinu ya energy kwa gas inahusisha mambo meng.mikataba mikubwa mikubwa miing kias kwamba kupigwa ni rahis sana na ndomana magu aliachana nayo

Ila ku manage HEP ni rahis na tayar tuna experience nayo tofaut ma gas.....

Gas kupigwa ni rahis sana..na ndo chanzo cha kuletewa alshabab...wazungu wale ukiona wanachimba gas au mafuta lazima wahakikishe wanakuletea kakikund cha kigaidi katakacho kutoa kwenye reli huku wenyew wakichkua mali..

We are not ready for that....bora hyo HEP tuna uzoefu nayo
 
Gas alishauziwa mchina tuna chini ya asilimia 40 kwenye gas yetu anachotaka huyu mpuuzi ni tuingie mikataba na wachina watuuzie gas YETU naona ashaitwa pembeni na macho kengeza ...GAS TULISHALIWA KICHWA KITAAAMBO
Yaani nyie watu mlikuwa mnafanywa kama mazuzu! Bandari ya Bagamoyo mliambiwa maneno sawa na hayo; na leo hii hao hao waliokuwa wanawalisha ujinga ndio wamewageuka ni kuwaeleza umuhimu wa Bandari ya Bagamoyo!
 
Soma Upya Geography Form IV Project ya Tennessee Valley Authority.
 
Mitaro ya kwenu ulishakagua kwenye mifereji, ukimaliza kupata comment
 
Google tu gapo uone umeme wa gas na mafuta mwisho wake ni lini huku duniani siyo Tanzania...Nadhani yeye ndiyo kapitwa na wakati tena anatisha...Watu wanaondoka kwenye magari ya mafita walete ya mvuke na betri yeye anawaza hizo dirty energy sources? Tena bila aibu hadharani mchana kweupe! Kweli nimeamini elimu haitusaidii
 
Will the move from Gas dependent to HEP lower costs to end user ?
Consumer costs depends on many factors all in all TANESCO has to be monitored and regulated with close eyes to lower those costs.Government intervention in cost lowering by putting standards openly like in Petrol,diesel will contribute a lot.

It is the same as telecommunication company like halotel using fibres and airtel using signal poles they charges same consumer costs also HEP and Gas all should deliver cheap and affordable charges.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…