Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
Hahahah just watch and see sio...mmesahu profesa huyu huyu alisema watanzania hawawezi kuendesha biashara ya Gas, uwezo wao ni kutengeneza viwanda vya juice? Huo uwezo huo mmeupata wapi?Gas ni yetu na tuna uwezo wa kuchimba na kuzalisha wenyewe na tumeshafanya majaribio tukaweza na muda si mrefu sisi tutamiliki visima vyetu vya gesi bila wageni kuingilia kati...just watch and see