Hahahah just watch and see sio...mmesahu profesa huyu huyu alisema watanzania hawawezi kuendesha biashara ya Gas, uwezo wao ni kutengeneza viwanda vya juice? Huo uwezo huo mmeupata wapi?Gas ni yetu na tuna uwezo wa kuchimba na kuzalisha wenyewe na tumeshafanya majaribio tukaweza na muda si mrefu sisi tutamiliki visima vyetu vya gesi bila wageni kuingilia kati...just watch and see
Quote me, Mkuu hamna mtanzania atafanya hii biashara ya oil and gas Solely maana it is very very risk, kuna kampuni ilichimba Tz kisima cha urefu 5km kwenda chini afu gas hata mafuta hawayakuyaona iliwagharimu zaidi ya USD Million 500Hahahah just watch and see sio...mmesahu profesa huyu huyu alisema watanzania hawawezi kuendesha biashara ya Gas, uwezo wao ni kutengeneza viwanda vya juice? Huo uwezo huo mmeupata wapi?
Ndugu kuamini mtu kisa profesa tu tulishatoka huko. Usiache kupitia uchambuzi wa wataalam wengine. Jielimishe na jihabarishe. Lipumba ni profesa ujue. Kabudi ni profesa ujue. Lakin je?????? Kwa sasa kuna maprof sera za kutowakinga na njaa zimewapokonya uwezo wao wa kufikiri na kutenda! Uzalendo nao walishauuza, natamani siasa iwe kazi ya maslahi kidogo kuliko u barmaid ndio tutafaidi hivi vyeti.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Madini, jiolojia sipati ulinganifu wake na uzalishaji wa umeme.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Madhara ya kufikiri kwa kutumia akili ndogo.
Kama hiyo ya maji ni renewable, kipi kilifanya miradi ya mwanzo ya umeme wa maji kuendeshwa kwa ufanisi duni?Hivi unajua HEP ni renewable na ukishajenga zile gharama za mwanzo utaendelea kuvuna kwa gharama ndogo ?
Hizo gesi kesho zikipanda bei ndio unarudi kwenye maji tena ?, Pia kumbuka sio kila nchi ina uwezo / mazingira ya kuwa na Umeme wa maji kwahio kuwa na mazingira hayo kutokuyatumia na kwenda kuchimba gesi ambayo kuna siku itakwisha hayo ni mawazo ya muda mfupi
Ana CV lakini hana hekima!Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Hujui hata LNG ya Lindi ina gharama gani halafu unaropoka ropoka tu, 30bn USD ni zaidi ya bajeti nzima ya Tz ya miaka miwili, SSH ataenda ku sign tu mikataba ya ajabu huko, wazungu watakuja watachukua kila kitu watz wataachia kufaidika ni vi ajira na PAYE, hizi ni ki akili za kimaskini na kinyumbxxx kabisa.Mpumbavu wewe aliyekwambia LNG ni $ 30bn ni nani?? Sawa tufanye ni hiyo pesa, kwahiyo tuache gesi huko ardhini mpaka lini? Kwanza si wasukuma mlikuwa mnajitapa hii nchi tajiri au sio ninyi??
Rais wetu kipenzi kasema tunaanza kujenga LNG pale Michinga Lindi, wewe na wasukuma wenzako mtasaga Meno lakini mambo lazima yafanyike. Mlifikiri hii nchi ni yenu pekeenu sio. Mmeachwa ukiwa sasa na mgonjwa wenu wa Ukimwi anakula vumbi tu huko
Kuruhusu mjinga kujaribu kukushawishi ujinga ndio ni udhaifu.Kuruhusu mawazo tofauti tofauti ni udhaifu? Au kufata yale ya JPM tu ndo ujasiri?
Walishindwa kuelewana na serikali kwenye final contract ili waendelee na FEED, sasa huyu Rais SSH ameshawapa signal ata give in kwa matakwa yao yote, hizo ni akili au matope?Ahsante kwa kuijua LNG,umeona portifolio ya commercial ya hiyo LNG its profitable for the country and the investors
Wanamtumia kwa independent consultancies zipi? Toa ushahidi wa hizo consultancies. Usinogeshe story.Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.
Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.
Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Ila kufurahia maisha ya kuitwa watu wanyonge nalo halina tija. Watu wafanye kazi halali, kuwe na mzunguko wa pesa ili kukuza uchumi. Sera zile HAPANA.SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Gesi yetu ipi iliyouzwa, acheni huo uongo na propaganda za kitoto.Enzi ya gas yetu kuuzwa huyu si ndo alikuwa waziri wa nishati na madini?
Mama hana vitisho, uhuru wa kutoa maoni kama nchi zilizostaraabika huko. Unaacha watu waongee, kwani ni haki yao na uhuru wao. Yenye tija unachukua, yale ya porojo unatupilia mbali, huo ndiyo UONGOZI na siyo UTWALA. Mama ni kiongozi hashupaz shingo na kufura bila MAAARIFA NA AKILI-Maarifa.Hii ni dalili mafisadi wote hawamuogopi SSH, wote wanajaribu kumshauri ujinga tena waziwazi, hiyo ni dalili ya dharau ya uwezo wake, jana Ndugai kaja na ya bandari ya Bagamoyo, leo tunaambiwa umeme wa maji gharama, kesho tutasikia ujinga mwingine kutoka kwa dalali wa the so called “investors”.
Habari za uchaguzi wa mkuu na Sm zinaingia vipi?Watanzania gani unawaongelea? Maana enzi za JK watanzania waliambiwa umeme wa Gas na ikaonekana walikubali. Kaja Magufuli kaona hana 10% kwenye huo Mradi wa gas, kuanzisha wa maji ili naye apate sehemu ya kupiga. Ingekuwa miradi yake yote inakubalika na hao Watanzania, kipi kilimfanya anajisi uchaguzi mkuu na wa Serikali za mitaa?