Unsustainable kwa kigezo kipiKabla ya kumshambulia prof Muhongo embu tumsikilize point yake mbona kama anayo point fulani hivi ya kusema!!!
Kwakifupi ule mradi wa stiglers gorge tulikurupuka tumewekeza pesa karibia trillion 10 kwa mradi ambao ni unsustainable..... Heche aliwahi kushauri wakati fulani tukamuona kama mchochezi.
Maana yeye kasema umepitwa na wakati (out of fashion) wakati Australia na China wanaendelea na coal