Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

umezingatia nini kuandika haya!!!

huyu CAG mwenye pua kama kitenesi,ndio kaandika hiyo tathmini yake.bado una nafasi ya kufikiri kwa kina.si kila msomi ana akili.

tanzania bado inahitaji umeme wa bei nafuu zaidi,ili kuendana na hali ya maisha yetu ya kila siku,mmawaza umeme wa neuclear na gesi mnajua gaharama zake na bei kwa kila moja!!!
life span ya mtera dam ni mwaka wa ngapi sasa na inaelekea kuacha kufua umeme lini??
Hv unaijua kweli kazi ya CAG?? Kwahyo kama kuna upigaji ulitaka akae kimya?? Wakati ule prof Asad alipogundua 1.5 trillion haionekani huyo Mungu wenu wa chato akamuundia zengwe akatolewa sababu alibaini wizi wa pesa.
Tatizo lenu mliishazoea kufungwa midomo kwa watu kwahyo isingekua rahisi kugundua haya yaliyoibuliwa na kichere matokeo yake mmebaki mmepoteana.

Ukisemea gharama ya umeme wa maji ni kweli uko sahihi kua ni wa bei ya chini lakini tumeshuhudia gharama za umeme kuongezeka nchi hii je tulihitaji kuongeza tena hydroelectric power plant?? Tena kwa trillion karibia 10?? Je wajua kua tungewekeza kwenye umeme wa upepo kwa makambako, singida na same pekee tungetumia almost 3trillion lakini tungezalisha almost 24,000MW??? Ambao tungepata umeme wa ziada kuuza nchi zingine na kurudisha pesa zetu kwa haraka kuliko kuwekeza almost 10 trillions kwa kuzalisha 2100MW???
Ngoja nikuambie Kama ulikua hujui kulingana na mabadiliko ya tabia ya nchi uwekezaji kwenye umeme wa maji ni kupoteza hela
 
Hv unaijua kweli kazi ya CAG?? Kwahyo kama kuna upigaji ulitaka akae kimya?? Wakati ule prof Asad alipogundua 1.5 trillion haionekani huyo Mungu wenu wa chato akamuundia zengwe akatolewa sababu alibaini wizi wa pesa.
Tatizo lenu mliishazoea kufungwa midomo kwa watu kwahyo isingekua rahisi kugundua haya yaliyoibuliwa na kichere matokeo yake mmebaki mmepoteana.

Ukisemea gharama ya umeme wa maji ni kweli uko sahihi kua ni wa bei ya chini lakini tumeshuhudia gharama za umeme kuongezeka nchi hii je tulihitaji kuongeza tena hydroelectric power plant?? Tena kwa trillion karibia 10?? Je wajua kua tungewekeza kwenye umeme wa upepo kwa makambako, singida na same pekee tungetumia almost 3trillion lakini tungezalisha almost 24,000MW??? Ambao tungepata umeme wa ziada kuuza nchi zingine na kurudisha pesa zetu kwa haraka kuliko kuwekeza almost 10 trillions kwa kuzalisha 2100MW???
Ngoja nikuambie Kama ulikua hujui kulingana na mabadiliko ya tabia ya nchi uwekezaji kwenye umeme wa maji ni kupoteza hela

Ama kweli kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake,ngoja niishie hapa.
 
Hivi kwanini mnapenda kuandika upuuzi, embu tusaidie unahitaji hector ngapi za wind farm kulinganisha na JNHPP and amount capital to be in par.

Kila mpuuzi mwenye smart phone nchi hii thinks has a right to air his nonsense. Ujinga mtupu

Jamaa hadi mishipa inamsimama kwa kuandika,nimesoma alichoandika sasa nikabaki kushangaa tu.
 
.
20210408_180930.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Prof muhongo anapoint sana ila kiukwel katika maendeleo ukisikiliza sana stakeholders na kuangalia sana risk huwez kufanikiwa..! The gud thing about JPM ni kwamba alikua anataka umeme so means gani imetumika hilo swala lingine lakini pia tujiulize investment ya kupata umeme kwa kitumia gas inacost kiasi gani?? I dont think that would be more cheaper than what we are doing at Rufiji. We do things in phases.

My take kwa sasa watanzania tunahitaji umeme wa uhakika kama walishindwa kushauri huko mwanzo wasubiri miradi mipya but hii iliyoanza lazma tuimalize.!
kwa mtazamo wangu naona hata mbuyu ulianza kama mchicha hatuwezi kuruka kufikia maisha ya nchi zilizokwisha endele kwa mara moja tuko mbali sana ni sawa na kuvusha darasa watoto wakati kila stage ina umuhimu wake kwanza tuendelee na Rufiji ndipo tufikirie hayo mengine
 
Tundu Lissu, Muhongo, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.

Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.

Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.

Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.

Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?

Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege

Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?

Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?

Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?

Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?

Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.

Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.

Muda utaongea .

wanajipalia makaa

Ndio maana wakamuua
 
Wewe ndiye hujui, tuliza akili yako ufundishwe. Athari za mazingira kwa binadamu zinazosabanishwa na umeme wa hydro ni kubwa kuliko hiyo bei rahisi ya kunulia unit moja TANESCO. Soma athari za Guri Dam la Venezuela ambalo ndiyo kubwa kuliko yote katika South America au Three Gorges Dam ya China
weka link sio maneno yaso na ushahidi.
 
Baba Magufuli usiamke, endelea tu kulala cause ukiamka unaweza KUFA kwa BP, watu uliowaamini hata kuwanyanyasa sana wapinzani kupitia wao kumbe walikua wanafiki kupindukia, yaani hata kaka Job wa dodoma nae kakugeuka????

Funzo kwa mama; bora urudishe demkrasia, utapata madini mengi kwa wabunge wa upinzani kuliko chama chako, hawa wa chama chako wakigundua hupendi kitu fulani, hawatasema, watasubiri either ufe au utoke madarakani ndio waanze kusema, kwa ufupi kuanzia spika, naibu wake na wabunge wote (may be including mawaziri ) hawana msaada wowote zaidi ya kutafuta chakula tu.
 
Hivi kwanini mnapenda kuandika upuuzi, embu tusaidie unahitaji hector ngapi za wind farm kulinganisha na JNHPP and amount capital to be in par.

Kila mpuuzi mwenye smart phone nchi hii thinks has a right to air his nonsense. Ujinga mtupu
Yaani huwezi kabisa kutetea point yako bila kutukana?? Au ndo slogan mliorithishwa na mwenda zake?? Ningekuona wa maana Sana kama ungenambia gharama za wind farm ni kubwa kiasi gani na return yake itachukua muda gani kulinganisha na hydroelectric power plant ya bonde la rufiji lakni unapokuja na matusi bila kuniambia Cha kufanya namm nakuchikulia kama mpuuzi tu anaejifanya kua na uelewa wa mambo kumbe boya tu.
 
Najiulizaga ivi hawa wanao ponda miradi iliyo anzishwa na magufuli kwa ajii ya maendeleo ya taifaletu wana fanya hivyo kwa kumkomoa Magu ama wanatutafuta nini hasa watanzania.

Kunawatu wanatakakuipeleka hii nchi pabaya wengojatu.
 
nikafikiri ni baada ya miaka hata miwili hivi.

unajua ndio maana hamueleweki mnasimamia kitu gani.leo samia kwa kutamka tu maneno jukwaani anaonekana sio wale wale,ila utendaji ukiwa tofauti mnatumia majukwaa tena kumpinga.

ifae kuswma CCM inajua mdhaifu yenu,na namna ya kudeal nayo.
Msimamo wetu ni kuwa hatutaki siasa za kidhalimu, yoyote anayekwenda kinyume na msimamo huu hana bahati. Hata huyu mama akitoka nje ya mstari inakula kwake. Halafu Achana na hicho kichaka kiitwacho ccm, maana huko ccm hakuna kitu kinaitwa msimamo zaidi ya mlo. Mfano halisi, angalia walichokuwa wanasimamia wakati wa Magufuli, na wanachoongea hivi sasa.
 
Hivi kwanini mnapenda kuandika upuuzi, embu tusaidie unahitaji hector ngapi za wind farm kulinganisha na JNHPP and amount capital to be in par.

Kila mpuuzi mwenye smart phone nchi hii thinks has a right to air his nonsense. Ujinga mtupu

Bado hujapanick vizuri, utapanick sana.
 
Hoja za Dam55 zimekuzidi uwezo
Kumbe ni hoja za ushindani, nakubali amenishinda kama ilikuwa mashindano, lakini chambo hicho nimemtupia na sidhani kama atarudi.
 
Msimamo wetu ni kuwa hatutaki siasa za kidhalimu, yoyote anayekwenda kinyume na msimamo huu hana bahati. Hata huyu mama akitoka nje ya mstari inakula kwake. Halafu Achana na hicho kichaka kiitwacho ccm, maana huko ccm hakuna kitu kinaitwa msimamo zaidi ya mlo. Mfano halisi, angalia walichokuwa wanasimamia wakati wa Magufuli, na wanachoongea hivi sasa.

ndio maana tunawashangaa nyinyi wenzetu ni wa kumsifia mama leo hii[emoji85][emoji85]
 
Huyu Professa aliebariki michongo ya IPTL leo ndio anaishauri serikali
Mkuu prof amechangia kama mtaalam Wa mbobezi Wa miamba duniani,tunamsubiri na mtaalam Wa nyuklia mbobezi Gharib Bilal nae aje atoe yake ya moyoni.

Ila mwendazake alikuwa bandidu,hujamshauri bado.
 
Mpaka Sasa Mwana CCM naona anajiamini ni Membe tu...Wengine hawa wanaosema leo ni wanafiki..hawana Principles...Kama unasema leo kwann hukusema huko nyuma?? MUHONGO Ulijificha wapi na ulikua Mbunge???

Hayo Mbona Hukuyasema??? Watanzania wakataeni hawa watu waongo na wanafiki.
 
Back
Top Bottom