Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtanzania anafaa kuwa rais wa nchi hii!!! Naona kama huyu aliendika hajiaminiHata mimi ninafaa kuwa rais wa nchi kwa kuwa ninajua kusoma na kuandika kwa mjibu wa katiba yetu, tatizo nafasi iko moja na anaetakiwa ni mtu mmoja na hatuwezi tukawa rais wote ila tunaweza tukawa rahisi wa kutawaliwa.
Yeye aliruhusu ujeuri au alikuwa mnafiq? 😀Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.
Kwa hiyo ile ishu ya trilion 1.5 ilibidi apige kimya?! Hopeless!!Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Kila mtanzania mwenye vigezo vya kuwa Rais anafaa kuwa rais Wa
JMT ila katika wote wenye vigezo ni mmoja tu atachaguliwa kuwa Raid. Nadhani nimeeleweka kwa ufafanuzi huo murua
kwamba 1.5T angetulia nayo!!!Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Vyeti feki
Huyo mu.meo ameweza kuficha siri za nchi...Mr.Kilaza kutoka Chattle.Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Hii ni point...Mr.Kilaza anamuogopa hata Ney wa Mitego...wasije wakamuua bure mzee wa watu.Usimtakie matatizo mzee wa watu. Watamuuua bure
Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Unajua maana ya mwanataalumu mkuu?Hamna siri aliotoa...yeye ni mwana taaluma sio mwanasiasa.. kumhusisha na siasa ni utoto....
Ndie huyo sasa.....Unajua maana ya mwanataalumu mkuu?
Kama alivyoshindwa magufuliHuyo ata ubarozi wa nyumba kumi hawezi..
Viva Mavufuri
Assad hana mfano ndani ya maccm.Ukiachilia jina la ASSAD ninavyolipenda kwa utashi wa yule Msirya huyu jamaa bright bwana, mtu makini si mpayukaji.
Kwahiyo ni kweli mr T1.5 amepotea?Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent