Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli unauma siri ya gani ya kutafuna mamilioni!! Dhaifu dhaifu dhaifu!!Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Soma katiba UIELEWE yawezekana umeandika hii thread bila kutafakari Kama hujui nakwambia uelewe kuwa aliyewahi kuwa CAG hawezi kuwa mtumishi wa serikali tena, ibara 144 imejieleza vyema mkuuProfesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.
Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,
Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.
Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.
Nawaza tu,
Ushahidi WA hayo.CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa
CAG aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Uko sahihi kabisa mkuu. Kasoro tuu ni kwa mwaka 2015 ugomvi wa wanasiasa na migongano iliyoambatana na wizi wa kura(to be specific uporaji) ulisababisha mtu aliye beep akasukumiziwa ilihali hakujiandaa kisaikolojia na kimipango.
[/QUO
Haswaaa.Assad hana mfano ndani ya maccm.
usione niliyeandika hivi ni zwazwa, ukajikuta machungwa ndo malimaoSoma katiba UIELEWE yawezekana umeandika hii thread bila kutafakari Kama hujui nakwambia uelewe kuwa aliyewahi kuwa CAG hawezi kuwa mtumishi wa serikali tena, ibara 144 imejieleza vyema mkuu
Acha upuuzi sisi tunakwenda na JPMProfesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.
Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,
Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.
Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.
Nawaza tu,
Ni jiwe kuu dunianiProfesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.
Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,
Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.
Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.
Nawaza tu,
Hivi ripoti ya CAG ni siri kweli hivi unafikiri Kwa kutumia nini ndugu yangu?Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Bado sina uhakika na hii taarifa mkuuSoma hiyo jiwe la waashiNi jiwe kuu dunianiView attachment 1254664
Zwazwa wa kijani katika ubora wake,kila jambo unawaza kisiasa shwain mkubwa. Baba yako angepiga NY.e.t.o afadhali .CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa
CAG aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Akili za funza hizi!! Kipi ni Siri ambacho kakitoa?? Report ya CAG sio Siri wewe nzi kila mtz anapaswa kujua .Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi
State agent
Akigombea waisilamu wote kura zetu anazo na wakirsto wore waadilifu. Cc; myinka, hamidu, mtoro, Abu, juma, nkProfesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.
Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,
Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.
Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.
Nawaza tu,