Profesa Mussa Juma Assad agombee urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Profesa Mussa Juma Assad agombee urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hiyo heading haijakaa sawa, iko kama vile ameshaonyesha nia wakati bado hajaonyesha.
 
Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi


State agent
Ukweli unauma siri ya gani ya kutafuna mamilioni!! Dhaifu dhaifu dhaifu!!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Profesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.

Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,

Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.

Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.

Nawaza tu,
Soma katiba UIELEWE yawezekana umeandika hii thread bila kutafakari Kama hujui nakwambia uelewe kuwa aliyewahi kuwa CAG hawezi kuwa mtumishi wa serikali tena, ibara 144 imejieleza vyema mkuu
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa

CAG aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Ushahidi WA hayo.
 
Soma katiba UIELEWE yawezekana umeandika hii thread bila kutafakari Kama hujui nakwambia uelewe kuwa aliyewahi kuwa CAG hawezi kuwa mtumishi wa serikali tena, ibara 144 imejieleza vyema mkuu
yaani kweli machungwa ndio malimao,
 
Soma katiba UIELEWE yawezekana umeandika hii thread bila kutafakari Kama hujui nakwambia uelewe kuwa aliyewahi kuwa CAG hawezi kuwa mtumishi wa serikali tena, ibara 144 imejieleza vyema mkuu
usione niliyeandika hivi ni zwazwa, ukajikuta machungwa ndo malimao
 
Profesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.

Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,

Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.

Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.

Nawaza tu,
Acha upuuzi sisi tunakwenda na JPM
 
mwacheni apumzike pension yake inamtosha yeye na wanae, mstake makubwa kama yale ya mawaziri wakuu wote yaliyowakuta
 
Soma hiyo jiwe la waashi
Profesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.

Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,

Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.

Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.

Nawaza tu,
Ni jiwe kuu duniani
IMG-20191105-WA0040.jpeg
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa

CAG aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Zwazwa wa kijani katika ubora wake,kila jambo unawaza kisiasa shwain mkubwa. Baba yako angepiga NY.e.t.o afadhali .
 
Ameshashindwa hata kabla hajagombea ,ameshindwa kuficha siri za ofisi ndogo ya CAG akipewa ikulu si nchi itabaki uchi


State agent
Akili za funza hizi!! Kipi ni Siri ambacho kakitoa?? Report ya CAG sio Siri wewe nzi kila mtz anapaswa kujua .
 
Makongoro hana Twitter ,huo uzushi mmeanza sasa, mnatafuta nini,si muandike kwenye real account zenu.
 
Profesa Mussa Assad ni mtu sahihi kuwa Rais wa Jamhuri Ya muungano wa Tanzania, kwa weledi aliouonesha ni kweli Tanzania tuna wasomi na watu makini sana na wasiogopa mtu, Kauli ya Baba wa Taifa ya kwamba tunahitaji vijana jeuri basi huyu ni miongoni mwa zao la baba wa taifa.

Ukimtathimini huyu Profesa Mussa Assad kuwa Rais ama hakika kodi za wananchi zitatumika vizuri sana, katiba nzuri ya kuwajibishana wenyewe yaani wananchi kumuwajibisha kiongozi itapatikana, nafikiri tutafurahia si ndio jamani,

Nimekaa, nikamtafakari huyu mzee na weledi wake, nikaamua kuandika huu uzi.

Kazi nikuanza kumshawishi huyu mzee ili ajiandae kuchukua fomu ya Urais au wapinzani wata "take advantage" ? maana huyu mzee ni CCM pure.

Nawaza tu,
Akigombea waisilamu wote kura zetu anazo na wakirsto wore waadilifu. Cc; myinka, hamidu, mtoro, Abu, juma, nk
 
Akigombea waisilamu wote kura zetu anazo na wakirsto wore waadilifu. Cc; myinka, hamidu, mtoro, Abu, juma, nk
Hatuzungumzii dini kwenye masuala ya nchi mkuu,
 
Back
Top Bottom