Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Arts ni wengi sana na vyuo vimekuwa vingi tofauti na miaka yetu ilikuwa UDSM na Mzumbe tu, saizi vyuo mpaka vichochoroni serikali inajipa mzigo,ingefanya review......japo linafanyika kisiasa sana ndiyo maana linawapa shidaMimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee
Huelewi.So waahirishe mwaka?NAWAELEWA SANA, NA NINASOMESHA
Kuna member kawaambia tunafunga mikanda hela hakuna au zinachelewesha malipo, wapo tunaoidai Serikalini tumeambiwa tusubiri wana mipango yao tutalipwa
Wao wanfunzi ni nani wavuruge mipango ya Serikali kwanza vipaumbele
HAWAWEZI WAANDAMANE ndani ya hayo masaa 72 wataziona hizo hela
Mimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee
Una watoto mamaMama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa,kwani hata njaa itamuua.
Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini??Hawajui njaa kabisa.
Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa.View attachment 1295151
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu sasa ni ubabe.Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi ya chuo hicho DARUSO ambao wametoa tamko kwa serikali kwa kuipa masaa 72 iwe imetoa mikopo kwa wanafunzi waliokosa mikopo.View attachment 1295284
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri Ndalichako inaonekana kapotoka pakubwa anawatisha wadogo zetu wanaodai haki zao za kupewa mikopo.
Yeye anajua kabisa tatizo lipo kwa Serikali kushindwa kutoa mikopo sasa najiuliza kauli aliyoitoa leo akiwa Kigoma sio ya kiungwana hata kidogo anasema vijana watulie wasome sasa swali watasoma vipi wakati hawana pesa?
Serikali inakwepa majukumu yake kwanza yeye alisoma bure kipndi hicho.
Wadogo zetu hawawezi kusoma bila pesa kama mmeshindwa kuwapa pesa waambieni ukweli warudi nyumbani pesa zinazonunua ndege zinapatikana wapi ambapo pesa ya kuwapa wadogo zetu hakuna?
Siku hizi ukienda tofauti na watawala tu unakwisha, soo sad
Mkuu umeandika hasira sana hii ni sawa kumwambia mwanao aende shule bila Viatu kwa sababu enzi izo wengi wetu tulikua tunaenda shule peku maisha yanabadilika laptop, smartphone huwezi kuvitenganisha na mwanafunzi wa elimu ya juu mkuu bado ni sehemu ya mahitaji muhimu sasa huenda usinielewe ila ukweli ndiyo huo.huo ndio ujinga wenu, mnalazimisha kutumia smartphone na Laptop
sisi mbona hivyo vitu hatukutumia na wala mikopo hiyo haikuwepo
ni bora mrudi nyumbani kuna kazi nyingi sio mtumalizie hela na mje kukosa kazi mtake tena mradi wa chinga barabarani
km mnabisha basi ANDAMANENI KESHO
Hawa wazee wanaropoka ropoka tu..poor themD
Mkuu umeandika hasira sana hii ni sawa kumwambia mwanao aende shule bila Viatu kwa sababu enzi izo wengi wetu tulikua tunaenda shule peku maisha yanabadilika laptop, smartphone huwezi kuvitenganisha na mwanafunzi wa elimu ya juu mkuu bado ni sehemu ya mahitaji muhimu sasa huenda usinielewe ila ukweli ndiyo huo.
Maana zamani ilikuwa ni rahisi mkuta mwanafunzi amerundika mavitabu kibao leo mwanafunzi anaweza tembea na vitabu hata elfu pitia laptop take .End out katika mfumo wa soft copy mwalimu anatuma kwenye group la wanafunzi Whatsapp wanapata kwa mara moja lakini bado mwanafunzi anaweza share kila aina ya notes vitabu na mwenzake popote alipo Tanzania na hapo ndo umuhimu wa smartphone unapokuja
Mkuu achana naye huyo hajafika hata chuo cha kataMkuu usilazimishe kisa ulitembea pekupeku wakati unasoma na watoto wako watembee ivyoivyo,kila jambo na wakati wake acha mawazo mgando na ya kishamba,yaani unacomment kabisa hapa kwa kujiamini "eti mbona sisi tulisoma bila smartphone na laptop?
Mkuu umesoma mpaka level gani na mwaka gani?
Watu wa karibu yako hasa wadogo zako nawaonea huruma sana
huo ndio ujinga wenu, mnalazimisha kutumia smartphone na Laptop
sisi mbona hivyo vitu hatukutumia na wala mikopo hiyo haikuwepo
ni bora mrudi nyumbani kuna kazi nyingi sio mtumalizie hela na mje kukosa kazi mtake tena mradi wa chinga barabarani
km mnabisha basi ANDAMANENI KESHO
Mimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee