Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

Mimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee
Arts ni wengi sana na vyuo vimekuwa vingi tofauti na miaka yetu ilikuwa UDSM na Mzumbe tu, saizi vyuo mpaka vichochoroni serikali inajipa mzigo,ingefanya review......japo linafanyika kisiasa sana ndiyo maana linawapa shida
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi ya chuo hicho DARUSO ambao wametoa tamko kwa serikali kwa kuipa masaa 72 iwe imetoa mikopo kwa wanafunzi waliokosa mikopo.

FB_IMG_1576599781183.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAWAELEWA SANA, NA NINASOMESHA
Kuna member kawaambia tunafunga mikanda hela hakuna au zinachelewesha malipo, wapo tunaoidai Serikalini tumeambiwa tusubiri wana mipango yao tutalipwa
Wao wanfunzi ni nani wavuruge mipango ya Serikali kwanza vipaumbele
HAWAWEZI WAANDAMANE ndani ya hayo masaa 72 wataziona hizo hela
Huelewi.So waahirishe mwaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee

Yap Nishausoma uzi wako madam
Tatizo wanaowekwa Wizara ya Elimu wengi ni ndio mzee tu hawana mipango mkakati for sure pesa nyingi sana zinapotea kwa kufanya unnecessary pale wizarani hasa kwenye pesa ya mikopo mimi mpaka sasa nadaiwa milioni 12 na HESLB sijui wenzangu ambazo nataman kama wangenipa mkononi now ningekuwa mbali sana
For sure watafute solution.
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi ya chuo hicho DARUSO ambao wametoa tamko kwa serikali kwa kuipa masaa 72 iwe imetoa mikopo kwa wanafunzi waliokosa mikopo.View attachment 1295284

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu sasa ni ubabe.
 
Mama Ndalichako na HESLB ebu fanyeni mumalize matatizo na hawa vijana wa chuo wapeni haki yao na sio kuleta porojo nyingi. Wapo serious kuliko mnavyodhani. Maana nishakutana na wanafunzi kadhaa wenye malalamiko juu ya pesa zao za mikopo. Siku ikifika hamtoamini

57d5fb35-8f14-4cc4-8647-ab23d9e72787.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app


======
Waziri Ndalichako inaonekana kapotoka pakubwa anawatisha wadogo zetu wanaodai haki zao za kupewa mikopo.

Yeye anajua kabisa tatizo lipo kwa Serikali kushindwa kutoa mikopo sasa najiuliza kauli aliyoitoa leo akiwa Kigoma sio ya kiungwana hata kidogo anasema vijana watulie wasome sasa swali watasoma vipi wakati hawana pesa?

Serikali inakwepa majukumu yake kwanza yeye alisoma bure kipndi hicho.

Wadogo zetu hawawezi kusoma bila pesa kama mmeshindwa kuwapa pesa waambieni ukweli warudi nyumbani pesa zinazonunua ndege zinapatikana wapi ambapo pesa ya kuwapa wadogo zetu hakuna?
 
huo ndio ujinga wenu, mnalazimisha kutumia smartphone na Laptop
sisi mbona hivyo vitu hatukutumia na wala mikopo hiyo haikuwepo
ni bora mrudi nyumbani kuna kazi nyingi sio mtumalizie hela na mje kukosa kazi mtake tena mradi wa chinga barabarani
km mnabisha basi ANDAMANENI KESHO
Mkuu umeandika hasira sana hii ni sawa kumwambia mwanao aende shule bila Viatu kwa sababu enzi izo wengi wetu tulikua tunaenda shule peku maisha yanabadilika laptop, smartphone huwezi kuvitenganisha na mwanafunzi wa elimu ya juu mkuu bado ni sehemu ya mahitaji muhimu sasa huenda usinielewe ila ukweli ndiyo huo.

Maana zamani ilikuwa ni rahisi mkuta mwanafunzi amerundika mavitabu kibao leo mwanafunzi anaweza tembea na vitabu hata elfu pitia laptop take .End out katika mfumo wa soft copy mwalimu anatuma kwenye group la wanafunzi Whatsapp wanapata kwa mara moja lakini bado mwanafunzi anaweza share kila aina ya notes vitabu na mwenzake popote alipo Tanzania na hapo ndo umuhimu wa smartphone unapokuja
 
D
Mkuu umeandika hasira sana hii ni sawa kumwambia mwanao aende shule bila Viatu kwa sababu enzi izo wengi wetu tulikua tunaenda shule peku maisha yanabadilika laptop, smartphone huwezi kuvitenganisha na mwanafunzi wa elimu ya juu mkuu bado ni sehemu ya mahitaji muhimu sasa huenda usinielewe ila ukweli ndiyo huo.

Maana zamani ilikuwa ni rahisi mkuta mwanafunzi amerundika mavitabu kibao leo mwanafunzi anaweza tembea na vitabu hata elfu pitia laptop take .End out katika mfumo wa soft copy mwalimu anatuma kwenye group la wanafunzi Whatsapp wanapata kwa mara moja lakini bado mwanafunzi anaweza share kila aina ya notes vitabu na mwenzake popote alipo Tanzania na hapo ndo umuhimu wa smartphone unapokuja
Hawa wazee wanaropoka ropoka tu..poor them
 
Mkuu usilazimishe kisa ulitembea pekupeku wakati unasoma na watoto wako watembee ivyoivyo,kila jambo na wakati wake acha mawazo mgando na ya kishamba,yaani unacomment kabisa hapa kwa kujiamini "eti mbona sisi tulisoma bila smartphone na laptop?
Mkuu umesoma mpaka level gani na mwaka gani?

Watu wa karibu yako hasa wadogo zako nawaonea huruma sana
Mkuu achana naye huyo hajafika hata chuo cha kata
 
Ninyi hamkutumia kwakua havikuwepo au kwakua mliamua kutokuvitumia?
huo ndio ujinga wenu, mnalazimisha kutumia smartphone na Laptop
sisi mbona hivyo vitu hatukutumia na wala mikopo hiyo haikuwepo
ni bora mrudi nyumbani kuna kazi nyingi sio mtumalizie hela na mje kukosa kazi mtake tena mradi wa chinga barabarani
km mnabisha basi ANDAMANENI KESHO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliwahi kuliongelea wapi?
Mimi nilishawahi kuongelea kuhusu hili..tena masomo ya Arts ni wengi mno..kusomesha mtu huku ukijua hutaweza kumuajiri ni wizi..hizi hela zinazosomesha hili kundi kubwa ambalo halitasaidia jamii kwa namna yoyote ile ni bora wangewekeza kujenga facilities/vyuo vingine vya ufundi....kwa watu ambao hawajapata Division one ama two wakasomee ufundi maisha yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom