Profesa Nonga: Vifaranga 62,730 kutoka Ubelgiji vilivyokamatwa JNIA vyote vimefia Airport

Makaratasi yanasababisha hasara kwa viumbe hai,Roho mbaya haijengi.
 
Umesema kweli Sana!
 
Kesi za namna hii huwa ngumu kwa kuzisikiliza upande mmoja tu. Je baada ya kuomba kibali Wizarani alipata majibu gani? Kama hakupata jibu lolote, hana wa kumlaumu.
Hii ndio cancer ya nchi yetu, inachukua within 7days kwa Botswana 🇧🇼 kupata permit ya uwekezaji, inachukua within 30days kwa Botswana kupata au kupewa majibu ya maombi ya permit ya ukaaji, hayo yote ni ndoto kwetu hapa, issue ya vifaranga hivi ilishakuwemo humu almost 7days ago sio issue ngeni, hapo kuna urasimu mkubwa, watu wana vibali vya kuingiza cheap chicken meat kutoka Brazil nchini, mwekezaji huyu wa ndani inaonekana ni tishio kwao, kama kawaida tutalalama humu na itaisha kama lile la moto kariakoo ,ajali ya ndege ziwani
 
Haya mambo yasikie kwa jirani tu, yakikukuta utaona kama dunia imekuelemea mkuu. Unapoomba kibali cha shughuli yako ni kama umewaambia una hela za kugawa. Swali, tutalia hivi mpaka lini????????
 
Kuna kipindi flani nilikua nafatilia nipate leseni ya ku-export cowries, nilikua nakutana na watu wa ajabu sana huko serikalini. Nilicho gundua ni kwamba huko wamejazana watu wenye uwezo mdogo sana kiakili hivyo hata utendaji wao lazima uakisi uwezo wao wa kiakili. Ili upate kazi huko lazima uwe mjinga mjinja mwenzao
 
Kesi za namna hii huwa ngumu kwa kuzisikiliza upande mmoja tu. Je baada ya kuomba kibali Wizarani alipata majibu gani? Kama hakupata jibu lolote, hana wa kumlaumu.
Unachekesha. Kwa hiyo kwa kutokujibiwa ndio anakosa mtu wa kumlaumu? Au kinyume chake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…